DOKEZO UTUMISHI, Kuvuja kwa mitihani ya oral interviews Chemist II(Forensic science & toxicology Posts), Mwajiri Maabara ya Mkemia Mkuu (GCLA)

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hili jambo halikubaliki, Serikali ifutilie haraka sana haiwezekani tuangaike kuwapa elimu watoto wetu, alafu watu wachache watuharibie. Mambo kama haya hayakubaliki kamwe, viongozi waandamizi na wenye mamlaka mpo humu, fuatilieni hili jambo watu wote wapate haki sawa. Hamna haja ya kubebwa kama mtu alisoma na kuhitimu kwa uwezo wake.
 
Mercy mpuuzi sana ukishapewa NONDO kausha
Hizi kazi sio wote mtapata akikosa uliempa NONDO lazima aku snitch

Hii dunia kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake
 
Mkuu naona unmsagia kunguni Mercy
 
Mitihani inavuja kwasababu watoto wa vigogo wanapewa maswali na majibu yake hapo ndo shida inaanzia hapo.
 
mimi nilifanya mwaka juzi yani tunaingia kwenye paper robo tatu ya tuofanya nao wanamihitani,niliumia kinyama na walikamata baadhi ya watu wakiwa na mitihani ila hamna hatua yoyote iliyochukuliwa zaidi walichukua ufaulu wa juu zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…