Utumishi mko wapi nane nane?.

Utumishi mko wapi nane nane?.

Messenger RNA

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2022
Posts
1,411
Reaction score
3,712
Hawa utumishi ndio ilikuwa fursa ya kutatua changamoto za vijana kwenye mfumo uombaji wa ajira kwa kanda zote kipindi hiki cha nane nane kupunguza usumbufu wanaopata vijana,cha ajabu tafuta huwaoni hasa kanda ya nyanda za juu kusini inayofanyika mbeya wenzenu karibia wote wapo. ninyi mnakwama wapi?
 
808c81fb_z-jpg.2315247

Tupo hapa vipi Hamia Sahani Sururu anasemaje amepata choo ale mapapai.
 

Attachments

  • 808c81fb_z.jpg
    808c81fb_z.jpg
    92 KB · Views: 14
Hawa utumishi ndio ilikuwa fursa ya kutatua changamoto za vijana kwenye mfumo uombaji wa ajira kwa kanda zote kipindi hiki cha nane nane kupunguza usumbufu wanaopata vijana,cha ajabu tafuta huwaoni hasa kanda ya nyanda za juu kusini inayofanyika mbeya wenzenu karibia wote wapo. ninyi mnakwama wapi?
Hivi nane nane si ni ya wakulima? Au nao pia ni watumishi wanaohitaji changamoto zao kusikilizwa? Pale taasisi hazina lolote zaidi ya kujitangaza
 
Back
Top Bottom