kwa uchache nawajua wenzangu wanne ambao wako katika hali kama yangu. ila haya ni maelezo yangu binafsi.
katika kipindi kilichokuwa kinarushwa na ITV na TBC taifa leo mida ya saa 12 jioni kuna mkurugenzi mmoja wa wizara hiyo kitengo cha (....sikumbuki ila kinahusiana na mambo ya kumbukumbu za watumishi kwa njia ya mtandao) anadai eti mtumishi wa umma akipandishwa cheo mwezi huu basi mwezi ujao anapata mshahara wake stahili. pia anadai eti kwa wale wanaodai malimbikizo ndani ya muda mchache tu (hakutaja how long) wanalipwa malimbikizo hayo.
mimi sielewi ni kwa nini baadhi ya watu wanapenda kupotosha ukweli. binafsi nilipandishwa cheo about a year after! na mpaka leo malimbikizo yangu sijalipwa. au wanazumgumzia watumishi gani wa umma?kwani sekta ya elimu sio watumishi wa umma? maana walimu siku zote tumekuwa nyuma katika kupata haki zetu...
kwa maoni yangu kama hujaweza kutekeleza kitu, ni heri ukae kimya. na kama umeamua kusema, basi sema kweli...
katika kipindi kilichokuwa kinarushwa na ITV na TBC taifa leo mida ya saa 12 jioni kuna mkurugenzi mmoja wa wizara hiyo kitengo cha (....sikumbuki ila kinahusiana na mambo ya kumbukumbu za watumishi kwa njia ya mtandao) anadai eti mtumishi wa umma akipandishwa cheo mwezi huu basi mwezi ujao anapata mshahara wake stahili. pia anadai eti kwa wale wanaodai malimbikizo ndani ya muda mchache tu (hakutaja how long) wanalipwa malimbikizo hayo.
mimi sielewi ni kwa nini baadhi ya watu wanapenda kupotosha ukweli. binafsi nilipandishwa cheo about a year after! na mpaka leo malimbikizo yangu sijalipwa. au wanazumgumzia watumishi gani wa umma?kwani sekta ya elimu sio watumishi wa umma? maana walimu siku zote tumekuwa nyuma katika kupata haki zetu...
kwa maoni yangu kama hujaweza kutekeleza kitu, ni heri ukae kimya. na kama umeamua kusema, basi sema kweli...