Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Hilo halina ubishiWalimu ni daraja la mwisho katika utumishi wa umma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo halina ubishiWalimu ni daraja la mwisho katika utumishi wa umma.
Hiyo ni kulingana na akili zako zilizojaa kamasi. Kwavile wewe sio mwalimu hujui lolote kuhusu walimu kwahiyo tuliza bichwa lako huko. Narudia tena kusema kuwa hujui lolote kuhusu walimu na ndio maana unajidanganya sana ili kujifariji na maisha magumu yanayokupiga huko.Walimu ni daraja la mwisho katika utumishi wa umma.
Naona mafala mlioshindwa maisha mnajidanganya ili kujifariji. Endeleeni kupoteza muda wenu kwa kujidanganya hivyo.Hilo halina ubishi
mkuu wangu wa shule anatoa tu macho hajui kituMfumo umeanzishwa bila kuwapa mafunzo watumishii na wahusika wakuu yani ni vituko[emoji28]
Hiyo ni kulingana na akili zako zilizojaa kamasi. Kwavile wewe sio mwalimu hujui lolote kuhusu walimu kwahiyo tuliza bichwa lako huko. Narudia tena kusema kuwa hujui lolote kuhusu walimu na ndio maana unajidanganya sana ili kujifariji na maisha magumu yanayokupiga huko.
Kwa taarifa yako walimu wanalipwa kama kada zingine nyingi sana za serikali na kwavile weww sio mwalimu huwezi kufahamu hilo. Hayo makasiriko yako nahisi ni kwasababu ya kukosa hela kwahiyo katafute hela ili uache kuishi kwa makasiriko. Wewe kama upo kundi la mwisho, usifikiri kila mtu yupo kama wewe. Watu wenye hela huwa hawana hayo makasriko uliyonayo, kwahiyo katafute hela.
mkuu wangu wa shule anatoa tu macho hajui kitu
Ukiona hii meseji,inamaana kuwa unapotaka kuhamia,hawakutenga budget kwaajiri ya mtumishi mwingine kuhamia, kwa maana ya ikama haipo, ikikubali tafsiri yake ni kuwa uko unapotaka kuhamia nafas ipoUkitaka kufanya vacancy request inakataa piaView attachment 2795744
Inaumiza mno yaani Mimi ombi langu limefika mkoani naambiwa nikachukue nianze upyaa kwenye mfumo Hali ya kuwa walipokea na kukaa nalo kwa muda wotee huo ,,wanasahau nilitumia gharama za kwenda na kurudi halamashauri,,mkoani acha tuTangu kuanzishwa na kufunguliwa kwa mfumo wa watumishi portal ess.utumishi.go.tz na kuunza kutumika rasmi mnamo tarehe mosi ya mwezi september.
Ukiwa na lengo la kupokea na kushughulikia maombi ya uhamisho kwa watumishi wa umma,ambapo lengo ni kupunguza urasimu na kuondoa paper work na kurahisisha uchakataji wa maombi hayo.
Watumishi wa umma walihamasika na wengi wamejisajiri katika mfumo huu ambao pia unawapa nafasi za kupata taarifa mbalimbali ikiwamo upatikanaji wa salary slips pamoja na kuomba mikopo online ukiachilia mbali maombi ya uhamisho,hakika mfumo huu umekua na msaada.
Hoja yangu ni hii hivyo ningeomba wahusika watupatie majibu.
Mfumo tangu kunzishwa kwake umekua na matatizo lukuki hasa upande wa uhamisho kwa watumishi,kuna wakati mfumo una load muda mrefu bila mafanikio yoyote.
Mfumo kupoteza taarifa za watumishi waliomba maombi ya kubadilishana baina yao (incoming exchange request),hivyo kushindwa kuendelea na maombi kati ya watumishi wanaohitaji uhamisho wa kubadilishana.
Wasimamizi wa watumishi kushindwa kuchakata maombi (request approval)hasa ngazi za halmashauri wakiwa na sababu kwamba wao hawajui kutumia mfumo na hawana mafunzo juu ya utumiaji wa mfumo huo.
Pia ili kupata msaada kupitia changamoto za kimfumo mawasiliano yaliyotolewa na ofisi ya utumishi namba zao hazipatikani ama nyingine kuita siku nzima bila mafanikio,barua pepe nayo hazijibiwi.
View attachment 2795531
View attachment 2795532
Je hii ni mbinu mpya ya ofisi ya utumishi na tamisemi kuzuia maombi ya uhamisho kwa watumishi wanao teseka kupata uhamisho ambao ni haki yao kwa mujibu wa sheria na taratibu za kiutumishi.
Maombi kwa njia ya barua yamepigwa marufuku,maombi kwa njia ya mtandao nayo vikwazo ni vingi,je ni nini hatma ya watumishi hawa.
Mawaziri wa wizara husika sikieni kilio chetu.
Unasababishwa na serikali kutosikiliza matatizo ya wafanyakazi,mtu anaomba aheme hilo eneo kaboreka nalo au haelewani na viongozi hapo,serikali haitaki kuruhusu,ufanisi utatoka wapi?60% ya watumishi wa Umma hawana ufanisi katika kazi zao