Utumishi siwaelewi kabisa

Utumishi siwaelewi kabisa

Database ni uhuni wa kuingiza watoto wao kwenye mfumo wa ajira ifutwe tu mtu akikosa aanze upya
Yaaah, mkuu nashukuru umenielewa vizuri na hii ndo kitu me napinga kabisa.. Zikitoka ajira hats kama ni post 1 sijui kuna mwajiriwa gani kafariki huko, sijui kaacha kazi basi watangaze hyohyo so mambo za kazi data
 
Sio kweli kuna watu mm nawafahamu wengi waliofanya interview baada ya miezi 6 na kuendelea wameitwa kazini, mm nina ndugu yangu alifanya usaili kada ya umeme ( Electrical Technician,) kwenye zile za system operator walitangaza nafasi 8 kwenye system operator na nafasi 25 kwenye electrical technician , ndugu yangu hakufaulu kuitwa kazini lakini baada ya mwaka mmoja aliitwa kazini!! Na leo yupo kazini, na wengine wameitwa wengi tu brother ambao walikuwa kazidata , hivyo usibeze kwa hoja yako nyepesi, kwa hiyo wewe ungekuepo kwenye hiyo nafasi ungeshindwa kumwingiza mtoto wako???
Kama mtu ana nia ya kumpa mtoto wake kazi au ndugu yake kazi sio mpaka aseme tumetoa kazidata ni swala la kumpa hata majibu tu na anafaulu usaili!!
Unatakiwa ujue hapa duniani hamna haki kikubwa wewe ishi kwa imani sio kulalamika, hata hizo nafasi za TRA kama ndugu zao wapo watapewa tu, lakini haziwezi kuwa zote, wewe gombania hizo chache !
Watanzania ni watu wa kulaumu kila kitu, na ukweli wanaujua, hivyi hata kama ni wewe ndo unaajiri mtoto wako atakosa Ajira?????? Kwa hiyo wewe aamini hiyo kazi data kuna watu wamepata kazi kupitia humo usiseme waitoe, yaani kwa sababu hawajakuita ndo useme iondolewe??? Isitoshe wanaopata Ajira humo ni watanzania tuache wivu!!!!
 
Yaaah, mkuu nashukuru umenielewa vizuri na hii ndo kitu me napinga kabisa.. Zikitoka ajira hats kama ni post 1 sijui kuna mwajiriwa gani kafariki huko, sijui kaacha kazi basi watangaze hyohyo so mambo za
Chukulia mfano mzinga wametoa nafasi moja, ya diploma in mechanical, na wakatitwa 40 kufanyiwa usaili na 5 wameonekana kufanya vizuri sana let say 90%+ na hapo hapo Tamesa wanataka nafasi 4, ambazo qualification is just the same na mzinga, kuna haja ya kuita tena usaili wakati kuna watu tiyari wana vigezo hivyo na walishapitia saili zote!!
Wewe unafikiri mtu kutoka kigoma kwenda dar es salaam kwa nafasi moja ni kitu chepesi???? Watanzania tuwe wazalendo,
Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza
 
Mkuu umenena. Wanaokubeza acha wakubeze lakini ukweli ndio huo kuwa hiyo database inatumika kama mlango wa nyuma kuingiza ndugu, jamaa na marafiki. Kama huamini fungua wallet kwa wale jamaa wa ICT ajiraportal uone kama utakosa. Mwaka jana kuna jamaa yangu alinitonya kuwa anataka aingie TARI ila kutokana na uchache wa nafasi zilizotangazwa haoni akitoboa. Akamtumia dada mmoja anae date nae ambae mamayake yupo huko. Jamaa akatuma application na akaitwa interview pale DUCE akaangukia pua hatua ya awali kabisa (written interview). Baada ya miezi mitatu ananiambia anaenda kuripoti eti jina lake lipo kwenye orodha ya waliokuwa wametunzwa kwenye database. Inaingia akilini? Mtu hata oral hakufika, huko kwenye database aliingiaje kama siyo usanii?
 
Sijawahi kupata kazi kupitia utumishi lakini nimehudhuria usaili huko. Data base ipo na inatumika ila usahihi wa matumizi yake ndo sina uhakika nao ila nimeshuhudia wenzangu kadhaa wakiajiriwa. Wengine hata mwaka mmoja baada ya usaili wa mahojiano wameitwa kazini kutoka kwenye kanzidata.
 
Wadau, hawa Utumishi wa Umma siwaelewi, unakuta Siku wanatangaza placements za watu kuingia kazini huku wakisema kuwa haya majina yanatokana na watu waliofanya usaili hv karibuni na wale waliopo kwenye kazi data.

Sasa kitu kinachinikera hawa jamaa wanapata vibali vya ajira alafu hawatangazi, huwa wanachomoa watu wao kusingizia walikuwa kwenye kazi data.

Unakuta maafisa kilimo zaidi ya 5 wamepangiwa ajira hali ya kuwa ajira(Posts) hazikutangazwa, huu ni mwanzo wa uhujumu wa ajira kwa watanzania. Obviously kuna vijana kibao wanamaliza diploma na degree zao, nao wanapenda Siku moja wasikie utumishi mumetangaza ajira japo 2 ili wagombanie sasa nyie hamtangazi ajira mnaleta mambo zenu ya kazi data sijui. Ni uongo tu hakuna cha kazi data wala nn, hizi ajira mnapangiana tu wenyewe.

Nimeona hii issue Mara nyingi Ila leo nimeamua kuwatolea uvivu. Tunaka iwe hivi; kama Ajira zimetoka hata kama ni Post moja mtfani upande wa kilimo basi tangazeni ajira ili vijana tuombe, kila Sik watu wanamaliza vyuo na wanahitaji wajaribu bahati zao hayo mambo ya kazi data hatuyataki.

Tena faculty ya KILIMO NA MIFUGO mnazingua sana.
Huwezi kueleweka kama hata hujui kuandika kanzi data
 
Database ni uhuni wa kuingiza watoto wao kwenye mfumo wa ajira ifutwe tu mtu akikosa aanze upya
Mzee kufika Oral sio mchezo. Nadhani wadhibiti tu hiyo hali, kwa maana kama watu wapo wanapita njia hizo no way wala hamna utaratibu wa kuwazuia so waamue tu kuwa waaminifu. Stop.
 
Sio kweli kuna watu mm nawafahamu wengi waliofanya interview baada ya miezi 6 na kuendelea wameitwa kazini, mm nina ndugu yangu alifanya usaili kada ya umeme ( Electrical Technician,) kwenye zile za system operator walitangaza nafasi 8 kwenye system operator na nafasi 25 kwenye electrical technician , ndugu yangu hakufaulu kuitwa kazini lakini baada ya mwaka mmoja aliitwa kazini!! Na leo yupo kazini, na wengine wameitwa wengi tu brother ambao walikuwa kazidata , hivyo usibeze kwa hoja yako nyepesi, kwa hiyo wewe ungekuepo kwenye hiyo nafasi ungeshindwa kumwingiza mtoto wako???
Kama mtu ana nia ya kumpa mtoto wake kazi au ndugu yake kazi sio mpaka aseme tumetoa kazidata ni swala la kumpa hata majibu tu na anafaulu usaili!!
Unatakiwa ujue hapa duniani hamna haki kikubwa wewe ishi kwa imani sio kulalamika, hata hizo nafasi za TRA kama ndugu zao wapo watapewa tu, lakini haziwezi kuwa zote, wewe gombania hizo chache !
Watanzania ni watu wa kulaumu kila kitu, na ukweli wanaujua, hivyi hata kama ni wewe ndo unaajiri mtoto wako atakosa Ajira?????? Kwa hiyo wewe aamini hiyo kazi data kuna watu wamepata kazi kupitia humo usiseme waitoe, yaani kwa sababu hawajakuita ndo useme iondolewe??? Isitoshe wanaopata Ajira humo ni watanzania tuache wivu!!!!
naomba kuuliza hiv ni kwa namna gan mtu unaweza kufahamu kwamba umewekwa kwenye kanzidata baada ya kufanya usahili na kukosa nafas za mwanzo

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
naomba kuuliza hiv ni kwa namna gan mtu unaweza kufahamu kwamba umewekwa kwenye kanzidata baada ya kufanya usahili na kukosa nafas za mwanzo

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mnapofika kwenye hatua ya oral interview huwa wanawaambia kabisa, kwamba ukipata kuanzia let say 80% utawekwa database yao!!
 
anhaa ok kwahyo wanaofail hatua ya oral huwa wanatoka wameshajua na wanaofaulu hatua hiyo wanakuwa washafahamishwa tayar kwamba wapo kanzidata

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hebu tusubiri ajibu hili swali,,
Gpaghy Ila kwann huwa wanatoa taarifa kwa nafasi zilizotangazwa mfano 20, wafuataao wamefaulu usahili wao na kufanikiwa kupangiwa vituo vya kazi na kama MTU hataona jina lake basi ajue hakufaulu mtiani.. Sasa hawa was kwenye database wamefauli lini..?
 
Wadau, hawa Utumishi wa Umma siwaelewi, unakuta Siku wanatangaza placements za watu kuingia kazini huku wakisema kuwa haya majina yanatokana na watu waliofanya usaili hv karibuni na wale waliopo kwenye kazi data.

Sasa kitu kinachinikera hawa jamaa wanapata vibali vya ajira alafu hawatangazi, huwa wanachomoa watu wao kusingizia walikuwa kwenye kazi data.

Unakuta maafisa kilimo zaidi ya 5 wamepangiwa ajira hali ya kuwa ajira(Posts) hazikutangazwa, huu ni mwanzo wa uhujumu wa ajira kwa watanzania. Obviously kuna vijana kibao wanamaliza diploma na degree zao, nao wanapenda Siku moja wasikie utumishi mumetangaza ajira japo 2 ili wagombanie sasa nyie hamtangazi ajira mnaleta mambo zenu ya kazi data sijui. Ni uongo tu hakuna cha kazi data wala nn, hizi ajira mnapangiana tu wenyewe.

Nimeona hii issue Mara nyingi Ila leo nimeamua kuwatolea uvivu. Tunaka iwe hivi; kama Ajira zimetoka hata kama ni Post moja mtfani upande wa kilimo basi tangazeni ajira ili vijana tuombe, kila Sik watu wanamaliza vyuo na wanahitaji wajaribu bahati zao hayo mambo ya kazi data hatuyataki.

Tena faculty ya KILIMO NA MIFUGO mnazingua sana.
Asee yawezekana lakini sio ukweli asilimia zote naweza toa ushuhuda kuna wana wametoka kanzi data kwenye placement hii kama watatu na walifanya interview nyuma kidogo
 
Database ni uhuni wa kuingiza watoto wao kwenye mfumo wa ajira ifutwe tu mtu akikosa aanze upya
Mkuu, Jitahid uwe unaanza maandalizi mapema. Ukiwa unasubir had watoe shortlist utakuwa na muda mchache wa kujiandaa na utakuwa unaishia kulaumu bure. Pambana had ufike hatua ya mwisho Oral Interview na Jitahid kujibu kwa usahihi maswali yao. Amin utafanikiwa hata kupitia Kanzi data.
 
Back
Top Bottom