UTUMISHI: Tabia ya kutoa tangazo halafu mnaita watu kwenye usahili baada ya miezi tisa mkome.

UTUMISHI: Tabia ya kutoa tangazo halafu mnaita watu kwenye usahili baada ya miezi tisa mkome.

Hahaha I'm sure wamesikia 😄 😄 😊 😊 utumishi mpeni kazi El marabiosh ni engineer

Aisee enzi nakua nilikua naona bonge ya kozi bora usome community development sio hiyo pole mkuu

Nusu nijichanganye kusoma hii.
 
. Wanakupa na mda wa kujiandaa....

. Neno "mkome" inabidi ukandwe kisawasawa na utumishi ili uwe na heshima..🙂
 
Back
Top Bottom