Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Sasa mkuu unapingana na linguist wa Kiswahili, maana almost matoleo yote ya dictionary tanzania na kenya yanasema hivyo.Mkuu hapo ni kimakosa, walioandika nao ni watu.
Kwa hiyo mkuu na wewe unaona kabisa ni kweli kwamba 'Onyesha' ni 'Show'?
Hapanaaa!
'Onyesha' ni kumuadhibu mtu kutokana na kosa alilofanya, eitha kwa maneno ama vitendo.
Nisawa na mchezaji anapocheza rafu, anaonywa kwa kadi ya njano au nyekundu.
Shida ni kwamba watu wengi huwa tunaandika maneno kama tulivyozoea kusikia yakitamkwa. Kwa mfani, kwasababu kumbe ni kwa sababu, baadae kumbe ni baadaye.
Pitia kamusi zote utagundua ni onyesha, onyesho, maonyesho