Utumwa wa dini ni tatizo kwa Waafrika

Na wewe ni wale wale, huna lolote.
Kwani mtu kutambua kuwa "UKILALA NA MKE WA MTU SI VIZURI" mpaka awe nfuasi wa Dini fulani?

Mtu kukupatia msaada fulani mpaka awe wa dini fulani?

Mbona ni vitu vya kawaida kabisa hivyo jamani, hata haihitajiki dini kuyatambua/kuyatenda.

Pengine nikuulize, "Bila dini, watu wangeona kuua wenzao ni kitendo chema?

Kiranga
 
Hapo shida iQ yetu ndogo.umeeleweka vizuri sana lakini dini imani na si wote wapo kwenye imani hizo,wema au ubaya ni tabia ya mtu si dini flani.ni vema tukajifunza kutenda mema bila kutegemea dini.mtoa maada wetu ametujuza kua baada ya kumusaidia yule bwana yule bwana msaidiwaji aliuliza kama we2 ni dini flani?bila shaka tatizo hapo ni mazoea.
 
kumbe wewe umemuelewa vema kabisa aliyeleta mada.
 
Leo nilikuwa natoka kazini nikawa nawaza sana jinsi Wa Africa tunavyogombana kwajili ya dini, dhehebu, nikajikuta hadi nafika nyumbani natafakari ukuu wa Mungu. Nikajiuliza je kama Mungu anapenda baadhi ya dini na baadhi ya madhebu inamaana hayo madhehebu pendwa au dini pendwa hazipati shida yoyote? Je waliozama MV bukoma, Nyerere, na ile ya Zanzibar je hakukuwa na dini pendwa na Mungu au inayomtii Mungu?
Nikajikuta naingia nyumbani mbwa wangu ananipokea kwa changwe na mpaka sasa sina majibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…