Utumwa wa kazi za Serikali unavyowatesa watumishi wa umma

Utumwa wa kazi za Serikali unavyowatesa watumishi wa umma

jozee jose

Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
52
Reaction score
120
Ni raha sana pale unapoanza kazi kwa mara ya kwanza paaa salary hiyoo inaingia kwenye bank acount na kusoma 350k, 400k mara 570k au 700k na nk.

Mwanzo mwa maisha ya kazi ni raha na utajihisi kuwa una ubia au undugu mzuri na Serikali, pia utadumisha uadilifu mwingi na unyenyekevu kazini.

Sasa basi, kwa kuwa watu wengi hatuna elimu ya pesa(financial literacy) mara nyingi matumizi mabovu huanzia mishahara mitano ya kwanzaaaa bila kujua huko ndio unatengeneza foundation ya maisha yako hasa ya kiuchumi.

Katika kipindi hiki ndipo mtu anataka anunue sofa la 900k, simu ya iphone au sumsung ya 800k hadi 1m, DStv explorer ya 350k, pressure cooker, rice cooker, jiko la gesi lenye plate nne, feni tatu moja chumbani nyingine sebuleni na nyingine spare.

Haitoshi bajeti ya unywaji na kuhonga wanaweke ambayo kwa wiki hadi 50k hadi 100k. Hapo nimetaja 40% tu ya matumizi na mengine sijataja ambayo ni ya umuhimu sana au ya kawaida.

Sasa kwa mfumo wa maisha ya namna hii kwa nini maisha yasiwe magumu? Maana vipato haviendani na matumizi kabisa.

Je mtu kama huyu akisukia taarifa za Mei mosi zinasema kuhusu ongezeko la mshahara atazifurahia? Maana bila shaka atakuwa ameingia katika dimbwi la madeni hivyo akidhani ongezeko la mishahara litafidia madeni yake.

Mdau unasemaje!
 
Ulichokiongelea sio utumwa wa kazi

Ni suala jingine kabisa la utumwa kwa tamaa binafsi za mhusika mwenyewe. Na mtu anapofanyia kazi yake anakuwaje mtumwa.

Yeah ni utumwa kwa tamaa, alipaswa kuongozwa na roho zaidi. Hapo sawa lakini kazi ya serikali haihusiki na chochote hapo🙅‍♂️
 
Halafu mnachukua mikopo hapo hamuwezi kutoka kabisa.
 
Kuna mzee mmoja nilikutana nae kipindi nafanya kazi Serikalini, akaniambia, mwanangu, mshahara wa Serikali umewekwa kwa kiasi hicho makusudi ili ukuwezeshe ku survive hadi ifikapo mwisho wa mwezi. This is the way Serikali inahakikisha hauondoki kwao ili waendelee kukunyonya thru kodi n.k na pia usifate ndoto zako. Sasa huo mshahara wa kichwa kimoja, kibongo bongo ndo uendeshee familia, automatically unajipiga kidole kimya kimya.

Nkakaa nkatafakari reason kwanini wastaafu wengi wanapewa marundo ya kutosha after retirement but in less than 5 years inawakuta wanacheza lile dubu la mchina la kuweka 200 200. Then i realized its wats called "institutionalization".

Mtu amesurvive kwa less miaka mingi automatically akili yake inaganda hapo hapo. So akipewa mlago wa kucheba anachanganyikiwa maana anaona haiishi. In few years ameparara vibaya anadanja na mastress.

Kwa wanaoikubali ajira ya Serikali, more power to them. Kila mtu na safari yake.
 
Ni raha sana pale unapoanza kazi kwa mara ya kwanza paaa salary hiyoo inaingia kwenye bank acount na kusoma 350k, 400k mara 570k au 700k na nk.
Mwanzo mwa maisha ya kazi ni raha na utajihisi kuwa una ubia au undugu mzuri na serikali, pia utadumisha uadulifu mwingi na unyenyekevu kazini .
Sasa basi, kwa kuwa watu wengi hatuna elimu ya oesa(financial literacy) mara nyingi matumizi mabovu huanzia mishahara mitano ya kwanzaaaa bila kujua huko ndo unatengeneza foundation ya maisha yako hasa ya kiuchumi.
Katika kipindi hiki ndipo mtu anataka anunue sofa la 900k, simu ya iphone au sumsung ya 800k hadi 1m, dstv explorer ya 350k, pressure cooker, rice cooker, jiko la gesi lenye plate nne, feni tatu moja chumbani nyingine sebuleni na nyingine spare,
Haitoshi bajetibya unywani na kuonga wanaweke ambayo kwa wiki hadi 50k hadi 100k.Hapo nimetaja 40% tu ya matumizi na mengine sijataja ambayo ni ya umuhimu sana au ya kawaida
Sasa kwa mfumu wa maisha ya namna hii kwa nini maisha yasiwe magumu? Maana vipato haviendani na matumizi kabisa,
Je mtu kama huyu akisukia taarifa za mei mosi hazinasema kuhusu ongezeko la mshahara atazifurahia? Naana bila shaka atakuwa ameingia katika dimbwi la madeni hivyo akidhani ongezeko la mishahara litafidia madeni yake....mdau unasemanee
daaah mkuu umetumwa kunisema au Sio?
 
Kwani mlidhani leo ongezeko lingekuwa kiasi ganiii?
 
Kuna mzee mmoja nlikutana nae kipindi nafanya kazi serikalini, akaniambia, mwanangu, mshahara wa serikali umewekwa kwa kias hicho makusudi ili ukuwezeshe ku survive hadi ifikapo mwisho wa mwezi. This is the way serikali inahakikisha hauondoki kwao ili waendelee kukunyonya thru kodi n.k na pia usifate ndoto zako. Sasa huo mshahara wa kichwa kimoja, kibongo bongi ndo uendeshee familia, automatically unajipiga kidole kimya kimya.

Nkakaa nkatafakari reason kwanin wastaafu wengi wanapewa marundo ya kutosha after retirement but in less than 5 years inawakuta wanacheza lile dubu la mchina la kuweka 200 200. Then i realized its wats called "institutionalization". Mtu amesurvive kwa less miaka mingi automatically akili yake inaganda hapo hapo. So akipewa mlago wa kucheba anachanganyikiwa maana anaona haiishi. In few years ameparara vbaya anadanja na mastress.

Kwa wanaoikubali ajira ya serikali, more power to them. Kila mtu na safari yake
Yani nimekuelewa saaana mkuu...sasa huo ndo utumwa wa kazi za Serikali.
 
Back
Top Bottom