Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Wasalaam JF
Jamani mapenzi ni utundu na ubunifu, hivi vitu ni sumaku ya mahaba, na hutiririsha chemichemi ya kugandwa kimahaba.
Utundu na ubunifu wangu wa kutumia vidole vyangu vyote vya mikono na miguu ndani 6by5, 6by6, nimevuna dodo la kale au ukipenda mshangazi mrembo.
Si kwingine ni hapa hapa Dodoma, nahamasisha ubunifu na utundu, muache lawama oooh bla blaa kibao, tuache uvivu fanyeni haki kitandani hamtajuta.
Ndio mimi fundi wa kutumia vidole vyote 20 kufanya maajabu ya minyanduo.
Najua kutumia vidole vyote vya miguuni na vya mkononi kufanya ubunifu na mautundu ya bed bed.
Mzagamuo, msakalanyo, hiyo ngaa, tutimbe? ndio mjipange mnyanduano ni utundu na ubunifu. Bila maajabu utabaki hivyo hivyo.
Mashangazi ukiwapatia kumbe kuna faida kuliko vishikwambi wenye dodozi.
Wadiz
Jamani mapenzi ni utundu na ubunifu, hivi vitu ni sumaku ya mahaba, na hutiririsha chemichemi ya kugandwa kimahaba.
Utundu na ubunifu wangu wa kutumia vidole vyangu vyote vya mikono na miguu ndani 6by5, 6by6, nimevuna dodo la kale au ukipenda mshangazi mrembo.
Si kwingine ni hapa hapa Dodoma, nahamasisha ubunifu na utundu, muache lawama oooh bla blaa kibao, tuache uvivu fanyeni haki kitandani hamtajuta.
Ndio mimi fundi wa kutumia vidole vyote 20 kufanya maajabu ya minyanduo.
Najua kutumia vidole vyote vya miguuni na vya mkononi kufanya ubunifu na mautundu ya bed bed.
Mzagamuo, msakalanyo, hiyo ngaa, tutimbe? ndio mjipange mnyanduano ni utundu na ubunifu. Bila maajabu utabaki hivyo hivyo.
Mashangazi ukiwapatia kumbe kuna faida kuliko vishikwambi wenye dodozi.
Wadiz