Utundu na ubunifu wangu ndani ya 6X6 unavyowadatisha mashangazi warembo

Hebu kwanza tulione hilo dole gumba lako la mguuni. Unaweza kuta kama tangawizi za same mashariki
Hahaaa la huko Gonja kighale hahaaa au huko mnazi kabisa
 
Sasa mkuu kwanini usitupe playbook

Tupe ujanja
 
Hivi watu huwa mnapata wapi ujasiri wa kujisifia kwa Mambo ya kijinga jinga Kama haya?

Waache wanawake waje wakusifie na show zake vinginevyo hapa unatuchora tu huna lolote.
 
Hadi kutumia vidole vya miguu a.k.a makanyagio, mmh si dharau hizo au ni huu ushamba wangu😂
 
Tanzania ya viwanda imewadia, kiwanda cha kuchakata papuchi kongwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…