Utunzaji wa nywele za asili

Utunzaji wa nywele za asili

Usikate mpendwa hata Mimi nilikuwa naweka dawa na nimeacha kuweka tangu mwaka Jana,sasa nimebaki na natural hair pekee.

Na nywele zangu ni ngumu kama katani,mwanzo nilidhani haiwezekani,fata hatua hizi utanipa mrejesho

1-endelea kusuka nywele za mkono,zenye dawa zitakuwa zinakatika zenyewe unapochana,zinabaki natural hair

2-uwe una osha saluni unawaambia naosha na kuxinyoosha au hata nyumbani kama una dryer La mkono unaweza nyoosha kwa kuchana huku unakausha,ukimaliza unasuka

3-pendelea kusuka nywele za mkono(twende kilioni),unasuka kubwa ukifumua unasuka ndogo ndogo unakuwa unapishanisha kwa mfumo huo

4-nenda maduka ta urembo nunua mafuta kwa ajili ya nywele natural au tumia ya Nazi,Castro oil mafuta asili.

Ukipata nafasi kila wiki Fanya steaming nyumbani ya yai,parachichi,kitunguu saumu n.k.
Ahsante sana my dear
 
ukuaji wa nywele ni nature na mtu,mi nywele zangu zinarefuka nch4 na nusu kwa mwaka,miaka mi3 nafikia urefu wa ruler nzima,sahv nina miezi 7 tangu nizi roll ziwe dread,hiyo picha nlopiga beach ilikuwa mwaka huu mwezi wa3,hio nyingne mwezi wa 10,hio ya mwezi wa 3 nywele zilikuwa hazijapitiliza kuzidi sikio,hio nyingne imepitiliza bado miezi mi5 nifunge mwaka,ntarudi tena kupost zikifikisha mwaka
 

Attachments

  • 39402056_10214910204422172_7674641447353581568_n.jpg
    39402056_10214910204422172_7674641447353581568_n.jpg
    47.2 KB · Views: 72
  • 43198609_10215256005746989_6473971945208545280_o.jpg
    43198609_10215256005746989_6473971945208545280_o.jpg
    64.4 KB · Views: 64
Habarini??
Natumaini mu wazima,

Leo ngoja tujadili kidogo steaming asilia ambayo unaitengeneza mwenyewe na kuboresha afya na muonekano Wa nywele zako

Mahitaji;-

parachichi
yai la kuku Wa kienyeji
Asali (Ukikosa tumia mafuta ya nazi au olive)

Hatua
;-

i/;- chukua parachichi lako likate toa ile nyama ya ndani weka kwenye chombo ili utengeneze mchanganyiko wako

ii/;- chukua yai lako pasua chukua kiini tu cha yai lako changanya na parachichi

iii/;-chukua asali yako pima vijiko viwili au vitatu vikubwa changanya kwenye ule mchanganyiko koroga Hadi vyote vichanganyike vizuri

# Unaweza kutumia blenda kusaga vitu vyote hivi kwa pamoja kupata uji mzito na laini.

Baada ya hapo osha nywele zako pakaa huo mchanganyiko na ukae kwenye steamer muda kadhaa na baadae uzioshe hapo utakuwa umeboresha nywele zako kiasili zaidi ni hayo tu!!!

DSC_0880-1-1024x685.jpg
Kwan hata ukijifunga mfuko wa plastiki ukakaa nao lisaa Limoja au zaidi haujaboresha au stima ndio Bora zaidi
 
Kwan hata ukijifunga mfuko wa plastiki ukakaa nao lisaa Limoja au zaidi haujaboresha au stima ndio Bora zaidi
Mm natumia kofia ya plastic. Inakaa vzr tu, ingawa ya madam sijatumia
Huwa natumia ndiz olive oili na asali
Bt zote ni nzuri tu
 
Kama kichwa kinavyosema. Wale wapenda nywele natural kama Mimi hebu tupeane maujanja ya jinsi ya kutunza nywele zetu Kwa kutumia vitu vya asili.

Hapa nazungumzia jinsi ya kutengeneza shampoo Kwa kutumia vitu asili toa na faida yake na imekusaidiaje?

Kutengeneza shampoo ya asili

Mafuta unayotumia

Tupe na ratiba nzima ya nywele yako unavyoishughulikia.

Nakaribisha tujifunze pamoja.
 
Niko hapa, leo ni ijumaa ni siku ya kuzipa chakula cha wiki kesho naosha kisha natengeneza style ntakayokaa nayo wiki nzima hadi ijumaa inayofata.
 
Huwa sina formula ila nilishaacha kutumia shampoo, naosha nywele na sabuni ya kipande haswa jamaa.

Chakula nnachokilisha nywele zangu Kila ijumaa ni tui la nazi bila kulichanganya na maji. Siku nyingine ndizi mbivu na mtindi, siku nyingine parachichi na mtindi na olive oil, siku nyingine juice ya carrot na maji ya mchele, au maji ya mchele uliolowekwa kwa siku 5 au juisi ya kitunguu maji peke yake na siku nyingine nachanganya kitunguu maji na tangawizi nachuja juisi yake.

Vyote hivi sichanganyi na maji na nikipaka usiku nalala nimefunga nywele na kofia ya plastic asubuhi naziosha na kuzipaka hair butter na hair cream (Haya mafuta ya dukani) kisha naweka protective style mwenyewe ya wiki nzima.

Nshasahau kadhia za wasusi zaidi ya mwaka sasa na nywele zangu zinarefuka kila leo.

Pamoja na kurefuka wengi tuu wameshaniambia, Kasie una asili ya kisomali au kimanga wewe, hizi nywele zote ni zako mbona zina waves kama za kisomali wakati wewe ni mmatumbi wa kinyamwezi..... Basi Mie nacheka tuu hehehehee.

Kasie Manywele.
 
Huwa sina formula ila nilishaacha kutumia shampoo, naosha nywele na sabuni ya kipande haswa jamaa.

Chakula nnachokilisha nywele zangu Kila ijumaa ni tui la nazi bila kulichanganya na maji. Siku nyingine ndizi mbivu na mtindi, siku nyingine parachichi na mtindi na olive oil, siku nyingine juice ya carrot na maji ya mchele, au maji ya mchele uliolowekwa kwa siku 5 au juisi ya kitunguu maji peke yake na siku nyingine nachanganya kitunguu maji na tangawizi nachuja juisi yake.

Vyote hivi sichanganyi na maji na nikipaka usiku nalala nimefunga nywele na kofia ya plastic asubuhi naziosha na kuzipaka hair butter na hair cream (Haya mafuta ya dukani) kisha naweka protective style mwenyewe ya wiki nzima.

Nshasahau kadhia za wasusi zaidi ya mwaka sasa na nywele zangu zinarefuka kila leo.

Pamoja na kurefuka wengi tuu wameshaniambia, Kasie una asili ya kisomali au kimanga wewe, hizi nywele zote ni zako mbona zina waves kama za kisomali wakati wewe ni mmatumbi wa kinyamwezi..... Basi Mie nacheka tuu hehehehee.

Kasie Manywele.
Hongera Sana najifunza kutoka kwako. Naamini nywele ya kiafrica hata kama ni kipilipili inakua vizuri kabisa.
 
Huwa sina formula ila nilishaacha kutumia shampoo, naosha nywele na sabuni ya kipande haswa jamaa.

Chakula nnachokilisha nywele zangu Kila ijumaa ni tui la nazi bila kulichanganya na maji. Siku nyingine ndizi mbivu na mtindi, siku nyingine parachichi na mtindi na olive oil, siku nyingine juice ya carrot na maji ya mchele, au maji ya mchele uliolowekwa kwa siku 5 au juisi ya kitunguu maji peke yake na siku nyingine nachanganya kitunguu maji na tangawizi nachuja juisi yake.

Vyote hivi sichanganyi na maji na nikipaka usiku nalala nimefunga nywele na kofia ya plastic asubuhi naziosha na kuzipaka hair butter na hair cream (Haya mafuta ya dukani) kisha naweka protective style mwenyewe ya wiki nzima.

Nshasahau kadhia za wasusi zaidi ya mwaka sasa na nywele zangu zinarefuka kila leo.

Pamoja na kurefuka wengi tuu wameshaniambia, Kasie una asili ya kisomali au kimanga wewe, hizi nywele zote ni zako mbona zina waves kama za kisomali wakati wewe ni mmatumbi wa kinyamwezi..... Basi Mie nacheka tuu hehehehee.

Kasie Manywele.
[emoji7][emoji7][emoji7]
Unazidi kunifanya nijione sikukosea kuchagua Health hair.
 
Huwa sina formula ila nilishaacha kutumia shampoo, naosha nywele na sabuni ya kipande haswa jamaa.

Chakula nnachokilisha nywele zangu Kila ijumaa ni tui la nazi bila kulichanganya na maji. Siku nyingine ndizi mbivu na mtindi, siku nyingine parachichi na mtindi na olive oil, siku nyingine juice ya carrot na maji ya mchele, au maji ya mchele uliolowekwa kwa siku 5 au juisi ya kitunguu maji peke yake na siku nyingine nachanganya kitunguu maji na tangawizi nachuja juisi yake.

Vyote hivi sichanganyi na maji na nikipaka usiku nalala nimefunga nywele na kofia ya plastic asubuhi naziosha na kuzipaka hair butter na hair cream (Haya mafuta ya dukani) kisha naweka protective style mwenyewe ya wiki nzima.

Nshasahau kadhia za wasusi zaidi ya mwaka sasa na nywele zangu zinarefuka kila leo.

Pamoja na kurefuka wengi tuu wameshaniambia, Kasie una asili ya kisomali au kimanga wewe, hizi nywele zote ni zako mbona zina waves kama za kisomali wakati wewe ni mmatumbi wa kinyamwezi..... Basi Mie nacheka tuu hehehehee.

Kasie Manywele.
Samahani tui la Nazi nalipataje bila kuchuja na maji.....nimependa Maelezo yako
 
Team natural,

Nimemix Coconut oil, Olive oil na Jamaican black Castro oil, sina shampoo maalum chochote nitakachoogea ndio naosha nywele pia.

Utanipata kwenye rough dread au TWA hair....
mafuta ya TWA natumia Cantu na rough dread natumia Jamaican Mango and Lime.
Screenshot_2018-12-21-17-16-44-1.jpeg
Screenshot_2018-12-21-17-17-05-1.jpeg
 
Huwa sina formula ila nilishaacha kutumia shampoo, naosha nywele na sabuni ya kipande haswa jamaa.

Chakula nnachokilisha nywele zangu Kila ijumaa ni tui la nazi bila kulichanganya na maji. Siku nyingine ndizi mbivu na mtindi, siku nyingine parachichi na mtindi na olive oil, siku nyingine juice ya carrot na maji ya mchele, au maji ya mchele uliolowekwa kwa siku 5 au juisi ya kitunguu maji peke yake na siku nyingine nachanganya kitunguu maji na tangawizi nachuja juisi yake.

Vyote hivi sichanganyi na maji na nikipaka usiku nalala nimefunga nywele na kofia ya plastic asubuhi naziosha na kuzipaka hair butter na hair cream (Haya mafuta ya dukani) kisha naweka protective style mwenyewe ya wiki nzima.

Nshasahau kadhia za wasusi zaidi ya mwaka sasa na nywele zangu zinarefuka kila leo.

Pamoja na kurefuka wengi tuu wameshaniambia, Kasie una asili ya kisomali au kimanga wewe, hizi nywele zote ni zako mbona zina waves kama za kisomali wakati wewe ni mmatumbi wa kinyamwezi..... Basi Mie nacheka tuu hehehehee.

Kasie Manywele.
Hongera kwa kulisha chakula bora nywele zako.
 
Mimi nimejifunza vingi Sana kuhusu natural hair na bado naendelea kujifunza. Vichache nitashea na nyinyi hapa
 
Back
Top Bottom