Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
Good morning Jamiiforums.
Ni takribani siku saba/wiki moja imepita sasa tangia nchi ya Uturuki, inayotujengea SGR, ishambuliwe na magaidi. Ipo wapi response yetu? Are we not supposed to share in their grief?
Nimepitia tweets na accounts za Rais, Wizara ya mambo ya nje, Ubalozi wetu kule Uturuki, Msemaji mkuu wa serikali, wote kiiiiimya.
THIS IS WHAT REALLY HAPPENED.
===
Takriban watu sita wameuawa na wengine 81 kujeruhiwa katika mlipuko katika eneo lenye shughuli nyingi katikati mwa Istanbul, mamlaka ya Uturuki imesema.
Mlipuko huo ulitokea mwendo wa saa 16:20 kwa saa za huko (13:20 GMT) kwenye barabara ya maduka katika eneo la Taksim Square, gavana wa jiji la Uturuki Ali Yerlikaya alisema.
Mshukiwa sasa amekamatwa, Waziri wa Mambo ya Ndani alisema.
Makamu wa Rais Fuat Oktay awali alisema mlipuko huo ulidhaniwa kuwa ni shambulio la kigaidi lililotekelezwa na mwanamke.
Rais Recep Tayyip Erdogan alisema wahusika wataadhibiwa.
Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari mjini Istanbul, alilaani kile alichokiita “shambulio baya” na kusema kulikuwa na “harufu ya ugaidi”.
Soma hii>>> Tanzania's turn to Turkey for SGR funds leaves China in limbo
Ni takribani siku saba/wiki moja imepita sasa tangia nchi ya Uturuki, inayotujengea SGR, ishambuliwe na magaidi. Ipo wapi response yetu? Are we not supposed to share in their grief?
Nimepitia tweets na accounts za Rais, Wizara ya mambo ya nje, Ubalozi wetu kule Uturuki, Msemaji mkuu wa serikali, wote kiiiiimya.
THIS IS WHAT REALLY HAPPENED.
===
Takriban watu sita wameuawa na wengine 81 kujeruhiwa katika mlipuko katika eneo lenye shughuli nyingi katikati mwa Istanbul, mamlaka ya Uturuki imesema.
Mlipuko huo ulitokea mwendo wa saa 16:20 kwa saa za huko (13:20 GMT) kwenye barabara ya maduka katika eneo la Taksim Square, gavana wa jiji la Uturuki Ali Yerlikaya alisema.
Mshukiwa sasa amekamatwa, Waziri wa Mambo ya Ndani alisema.
Makamu wa Rais Fuat Oktay awali alisema mlipuko huo ulidhaniwa kuwa ni shambulio la kigaidi lililotekelezwa na mwanamke.
Rais Recep Tayyip Erdogan alisema wahusika wataadhibiwa.
Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari mjini Istanbul, alilaani kile alichokiita “shambulio baya” na kusema kulikuwa na “harufu ya ugaidi”.
Soma hii>>> Tanzania's turn to Turkey for SGR funds leaves China in limbo