T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Kabla ya kusaini mkataba, Erdogan alikuja kufanya nini?Uturuki gani inatujengea SGR. Yappi Merkezi ndio Uturuki? Kwamba Coca-Cola na PepsiCo zikituuzia soda kwa hela yetu basi Marekani ndio inatunywesha?
Tulitakiwa kutoa pole ila Uturuki haitujengei reli
Mkuu, SGR linajengwa kwa fedha zetu na ujuzi wa TurkiyeInfantry Soldier hoja zako chokonozi,sgr inajengwa na serikali ya Turkey au Kampuni ya huko,je ni msaada tunajengewa na serikali ya Edogarn au fedha zetu?
I meant SGRdaraja tena?.
basi kama wajuzi wa huko wapo hapa wanaendelea kujenga sgr mimi sioni tatizo askari!Mkuu, SGR linajengwa kwa fedha zetu na ujuzi wa Turkiye
Sawa mkuubasi kama wajuzi wa huko wapo hapa wanaendelea kujenga sgr mimi sioni tatizo askari!
Tulivyopata janga la ajari ya ndege ulisikia ubalozi wao au wizara yao ya mambo ya nje wakiongea lolote?Good morning jamiiforums.
Ni takribani siku saba/wiki moja imepita sasa tangia nchi ya Uturuki, inayotujengea SGR, ishambuliwe na magaidi. Ipo wapi response yetu? Are we not supposed to share in their grief?
View attachment 2421785
Nimepitia tweets na accounts za Rais, Wizara ya mambo ya nje, Ubalozi wetu kule Uturuki, Msemaji mkuu wa serikali, wote kiiiiimya.
THIS IS WHAT REALLY HAPPENED.
===
Takriban watu sita wameuawa na wengine 81 kujeruhiwa katika mlipuko katika eneo lenye shughuli nyingi katikati mwa Istanbul, mamlaka ya Uturuki imesema.
Mlipuko huo ulitokea mwendo wa saa 16:20 kwa saa za huko (13:20 GMT) kwenye barabara ya maduka katika eneo la Taksim Square, gavana wa jiji la Uturuki Ali Yerlikaya alisema.
Mshukiwa sasa amekamatwa, Waziri wa Mambo ya Ndani alisema.
Makamu wa Rais Fuat Oktay awali alisema mlipuko huo ulidhaniwa kuwa ni shambulio la kigaidi lililotekelezwa na mwanamke.
Rais Recep Tayyip Erdogan alisema wahusika wataadhibiwa.
Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari mjini Istanbul, alilaani kile alichokiita “shambulio baya” na kusema kulikuwa na “harufu ya ugaidi”.
Soma hii>>> Tanzania's turn to Turkey for SGR funds leaves China in limboUturuki gani inatujengea SGR. Yappi Merkezi ndio Uturuki? Kwamba Coca-Cola na PepsiCo zikituuzia soda kwa hela yetu basi Marekani ndio inatunywesha?
Chukua hii mkuu>>> Tanzania's turn to Turkey for SGR funds leaves China in limboPesa tunazowalipa ni kipozeo tosha
Mnalipa kisasi?Tulivyopata janga la ajari ya ndege ulisikia ubalozi wao au wizara yao ya mambo ya nje wakiongea lolote?
Mimi pia ninakuheshimu sana mkuu>>> Tanzania's turn to Turkey for SGR funds leaves China in limboHebu weka vizuri nikuelewe. Sijawahi kuwa chawa mimi na sitarajii. Naona kama vile upo nje ya mada.
Tafadhali nakuheshimu.
Alikuja kufanya ziara ambazo Museveni, Kenyatta au Head of State yeyote anafanya na kusaini mkataba wowote au kufanya makubaliano. Rais wa nchi ya nje akifanya ziara ndio tuanze kujiliza wakifa. Wao wamejiliza kwenye misiba yetu?Kabla ya kusaini mkataba, Erdogan alikuja kufanya nini?
Degree yako ya Accounting hapo IAA ilikufundisha ukikopa hela NMB ukajenga nyumba, basi hiyo nyumba imejengwa na NMB?
Hii pia utaikataa>>> Turkey to partly fund multitrillion railway project in TanzaniaDegree yako ya Accounting hapo IAA ilikufundisha ukikopa hela NMB ukajenga nyumba, basi hiyo nyumba imejengwa na NMB?
Hilo si ni deni na linastahili kulipwa. Kwani bure hiyo? Kwakuwa kampuni ya Arab Contractors wanajenga HEP hapa nchini utasema Egypt ndio inajenga. Kisa walileta delegation na serikali yao ilikopesha baadhi ya funds.
Case yako ingekuwa sahihi 100% kama ungezungumzia daraja la Tanzanite na South Korea ambao walijenga kama msaada. Jifunze kutofautisha kampuni na nchi
Kama unaanza kuleta personal issues katika mijada badala ya kuja na hoja, sasa nitaanza kukudharau.Degree yako ya Accounting hapo IAA ilikufundisha ukikopa hela NMB ukajenga nyumba, basi hiyo nyumba imejengwa na NMB?
Siku zote ukimuona mtu anatumia nguvu nyingi katika kutetea jambo ujue ana shida fulani pahala.Degree yako ya Accounting hapo IAA ilikufundisha ukikopa hela NMB ukajenga nyumba, basi hiyo nyumba imejengwa na NMB?
Hilo si ni deni na linastahili kulipwa. Kwani bure hiyo? Kwakuwa kampuni ya Arab Contractors wanajenga HEP hapa nchini utasema Egypt ndio inajenga. Kisa walileta delegation na serikali yao ilikopesha baadhi ya funds.
Case yako ingekuwa sahihi 100% kama ungezungumzia daraja la Tanzanite na South Korea ambao walijenga kama msaada. Jifunze kutofautisha kampuni na nchi
Mkuu, alafu kaa ukijua ya kwamba Tanzania inawahitaji sana Uturuki kuliko Uturuki inavyoihitaji Tanzania. We're poorer compared to the Turkish.Wao kama nchi walitupa pole tulipopoteza watu 19 kwenye ajali ya ndege ya Precision?
Kumbuka kuwa sisi tuna shida nao sana. Jamaa wapo very advanced hivyo tunawahitaji sana. Labda kama ukisema tuishi kwa dhana ya "masikini jeuri"Tulivyopata janga la ajari ya ndege ulisikia ubalozi wao au wizara yao ya mambo ya nje wakiongea lolote?
Mkopo huo>>> Tanzania's turn to Turkey for SGR funds leaves China in limboWanatujengea bure?