Sijaona kama ni wabaguzi.na kumuua Mollel , bado yupo mpumbav anawatetea hamas kisa ni waislam wenzie , huyo mpumbav anatunga kila sabab kuwasifia hamas , ttzo la ngoz ya pumb ni kushabikia vitu hajui lolote kisa akiona mfanano mmoja tu anakuwa shabiki kindaki , hao wapalestina ni wabaguz wa kutupwa
Na sijaleta udini hapa mzee.
Wewe ndio unaleta udini.
Yemen schools pale tumesoma na Palestines wakarimu na wana upendo nimelala nao kitanda kimoja na nimechangia nao mpaka taulo.
Mollel kufa kwake huwezi ukalaumu hamas ,watu wapo katika vita unazungumzia suala la maslahi ya mtu mmoja??
Ripoti zimetoka kibao zingine zikisema Mollel alikufa kwa matokeo ya shambulio la ndege isiyo ya rubani ya IDF.