Uturuki kumekucha: Watetezi wa Palestina wavamia kiwanda cha Marekani na kushikilia mateka

Uturuki kumekucha: Watetezi wa Palestina wavamia kiwanda cha Marekani na kushikilia mateka

na kumuua Mollel , bado yupo mpumbav anawatetea hamas kisa ni waislam wenzie , huyo mpumbav anatunga kila sabab kuwasifia hamas , ttzo la ngoz ya pumb ni kushabikia vitu hajui lolote kisa akiona mfanano mmoja tu anakuwa shabiki kindaki , hao wapalestina ni wabaguz wa kutupwa
Sijaona kama ni wabaguzi.
Na sijaleta udini hapa mzee.
Wewe ndio unaleta udini.
Yemen schools pale tumesoma na Palestines wakarimu na wana upendo nimelala nao kitanda kimoja na nimechangia nao mpaka taulo.
Mollel kufa kwake huwezi ukalaumu hamas ,watu wapo katika vita unazungumzia suala la maslahi ya mtu mmoja??
Ripoti zimetoka kibao zingine zikisema Mollel alikufa kwa matokeo ya shambulio la ndege isiyo ya rubani ya IDF.
 
muislam yoyote ni gaidi , hampend aman nyie watu
Tanzania matajiri wakubwa waislam.
Je mbona wanaishi na dini zingine vizuri na kuwaajiri??
UAE,Qatar,Kuwait,Oman,Bahrain,Turkiye,Azerbaijan,Indonesia,Malaysia kote mataifa ya kiislam,je hakuna amani huko??
Wapi unasema waislam ni chanzo cha vurugu?
USHASAHAU UHARIBIFU ALIOLETA USA DUNIANI?
AU NIKUTAJIE MAAFA ALOLETA USA DUNIANI?
TUANZE NA IRAQ,LIBYA,MARSHALL ISLANDS,HAITI,YEMEN.
UNATAKA TUANZE WAPI KUJADILI NAMNA USA ALIVYOLETA MAAFA?
 
Ukiwa na fikra za aina hiyo utakuwa ni mtu mbinafsi na usiyejua kuweka vipaumbele katika maisha yako.
Yaani ukishashiba wewe basi inatosha na unasahau wengine wenye njaa.
uislam ni ushetan , uislam unafundisha umoja kwenye kufanya vurugu na sio kusaidiana kimaisha , Saudi ina hela za kuwahonga bunge letu ili wapate bandari ila saudia hawawez wasaidia wapalestina hata kaeneo ndan ya saudia
 
Mbona kama umeropoka hujaongea??
Ugaidi unao sababu na unao malengo.
Kila anachokifanya gaidi ana malengo yake ila ni malengo binafsi.
Japo Hamas sio magaidi kwasababu hawapo katika mlengwa wa ugaidi.
Sijui umeelewa!
kumuua Mollel na Mtega sio ugaidi ? uislam ni ushetani , uislam unafundisha mauaji na si kupendana
 
We una uhakika kama walotekwa waturuki??
Ushaambiwa hiyo kampuni ni US owned.
Utajuaje labda walotekwa wamarekani??
Wapalestina wapo Uturuki miaka kibao na hawajafanya lolote.
Ila moto wa Gaza utasambaa maeneo mengi sana.
Ila usisahau kama Turkiye anaisapoti hamas.
Kama hujui uliza
 
uislam ni ushetan , uislam unafundisha umoja kwenye kufanya vurugu na sio kusaidiana kimaisha , Saudi ina hela za kuwahonga bunge letu ili wapate bandari ila saudia hawawez wasaidia wapalestina hata kaeneo ndan ya saudia
Tuanze na Tanzania tu hapa.
We si unasema uislam unahamasisha umoja wa vurugu??
Tanzania ajira nyingi zinatolewa na makampuni gani kama sio ya kiislam??
Taasisi gani Tanzania zinazoongoza kwa misaada kama sio za kiislam??
Saudi arabia atampaje Palestina ardhi ilhali Palestina anatetea ardhi yake?
 
kumuua Mollel na Mtega sio ugaidi ? uislam ni ushetani , uislam unafundisha mauaji na si kupendana
Basi nenda kamseme na Spain,Belgium,Cuba,Colombia,Brazil, kuwa wanasapoti magaidi baada ya kufunga balozi za Israel nchini mwao.
 
Sijaona kama ni wabaguzi.
Na sijaleta udini hapa mzee.
Wewe ndio unaleta udini.
Yemen schools pale tumesoma na Palestines wakarimu na wana upendo nimelala nao kitanda kimoja na nimechangia nao mpaka taulo.
Mollel kufa kwake huwezi ukalaumu hamas ,watu wapo katika vita unazungumzia suala la maslahi ya mtu mmoja??
Ripoti zimetoka kibao zingine zikisema Mollel alikufa kwa matokeo ya shambulio la ndege isiyo ya rubani ya IDF.
we mseng , walimuua akiwa anawashambulia na silaha ? si alikuwa anajitetea kuwaelezea je walimsikiliza ? ndio maana Saudia wanawatuoa maghorofa , waislam waafrik ni watumwa wa kiakili , wao akili zashalokiwa hata auliwe baba yake na hamas ila atasema hamas hawana kosa , YAAN WALIMUUA MOLLEL HANA SILAHA ILA WAKAWAACHA HAI WAYAUDI NA RAIA WENGINE WA KUTOKA MATAIFA MENGINE TENA WOTE SIO WAISLAM , BADO WE NGOZ YA PUMB UNASHABIKIA , ET SIEZ WALAUMU HAMAS , PUNGUZA TABIA ZA KICHAWA , JIPENDE HAKUNA MWARAB ANAKUPENDA KIMAH WW
 
Tuanze na Tanzania tu hapa.
We si unasema uislam unahamasisha umoja wa vurugu??
Tanzania ajira nyingi zinatolewa na makampuni gani kama sio ya kiislam??
Taasisi gani Tanzania zinazoongoza kwa misaada kama sio za kiislam??
Saudi arabia atampaje Palestina ardhi ilhali Palestina anatetea ardhi yake?
taasisi gan ya kiislam inatoa ajira ? zaid ya miradi ya kikristu ?
 
taasisi gan ya kiislam inatoa ajira ? zaid ya miradi ya kikristu ?
1)GSM
2)AZAM
3)O GAS
4)AZANIA
5)METL
5)ASAS
Unaweza kunitajia makampuni ya kikristo yanayozidi haya makampuni ya waislam katika kuajiri raia????

Na kuhusu misaada ya kijamii kuna taasisi gani ya kanisa imetoa misaada ya kijamii kuizidi;
1)Tanzania Islamic foundation ilojenga visima ukanda wa kusini.
2)Alhikma foundation ilojenga visima na matundu ya vyoo katika shule nyingi za serikali hapa Dar es salaam.
Pia hizo taasisi ndio zimeonekana kusaidia watu yanapotokea maafa mathalan tetemeko la ardhi Kagera.
 
Mollel kafa kwa shambulio la anga la IDF.
Usikaze kichwa brothee.
Pia acha udini unakuharibu.
we makalio hili lilikuwa shambulio la IDF , hv mnanufaika nini na kushabikia kifo cha mtz mwenzio ? kwa akili hz ndio maana waarab wanawaita watumwa na hawatak kufungamana na nyinyi hamjitambui
IMG_20240202_154449.jpg
 
we mseng , walimuua akiwa anawashambulia na silaha ? si alikuwa anajitetea kuwaelezea je walimsikiliza ? ndio maana Saudia wanawatuoa maghorofa , waislam waafrik ni watumwa wa kiakili , wao akili zashalokiwa hata auliwe baba yake na hamas ila atasema hamas hawana kosa , YAAN WALIMUUA MOLLEL HANA SILAHA ILA WAKAWAACHA HAI WAYAUDI NA RAIA WENGINE WA KUTOKA MATAIFA MENGINE TENA WOTE SIO WAISLAM , BADO WE NGOZ YA PUMB UNASHABIKIA , ET SIEZ WALAUMU HAMAS , PUNGUZA TABIA ZA KICHAWA , JIPENDE HAKUNA MWARAB ANAKUPENDA KIMAH WW
Mbona unaanza matusi??
Huwezi kujadili bila matusi??
Ripoti inasema Mollel ameuawa kwa shambulio la anga.
Usitukane kijana pia acha mihemko.
Hao waarabu unaosemea wewe mimi naishi nao naamka nao daily,sijui unalielewa hilo??
Nitamchukiaje mtu aliyenionesha upendo??
 
1)GSM
2)AZAM
3)O GAS
4)AZANIA
5)METL
5)ASAS
Unaweza kunitajia makampuni ya kikristo yanayozidi haya makampuni ya waislam katika kuajiri raia????

Na kuhusu misaada ya kijamii kuna taasisi gani ya kanisa imetoa misaada ya kijamii kuizidi;
1)Tanzania Islamic foundation ilojenga visima ukanda wa kusini.
2)Alhikma foundation ilojenga visima na matundu ya vyoo katika shule nyingi za serikali hapa Dar es salaam.
Pia hizo taasisi ndio zimeonekana kusaidia watu yanapotokea maafa mathalan tetemeko la ardhi Kagera.
hizo sio taasisi za kiislam bali taasisi zinamilikiwa na mwislam , kwann mnapenda udini ? taaisis za kidini ni kama Bugando au Kcmc ziliasisiwa na kumilikiwa na makanisa sio mtu binafsi , ndio maana nawaita waislam ni watu wehu hapa duniani sio Tz tu
 
we makalio hili lilikuwa shambulio la IDF , hv mnanufaika nini na kushabikia kifo cha mtz mwenzio ? kwa akili hz ndio maana waarab wanawaita watumwa na hawatak kufungamana na nyinyi hamjitambuiView attachment 2891826
WE KIAZI NINI??
SIKILIZA USINI QUOTE TENA.
NAONA MJADALA UMEKUSHINDA USIJARIBU KUNI QUOTE TENA MAANA HUWEZI MJADALA BILA MATUSI NA KUENDEKEZA UDINI.
NAKUBLOCK KUANZIA SASA .
 
hizo sio taasisi za kiislam bali taasisi zinamilikiwa na mwislam , kwann mnapenda udini ? taaisis za kidini ni kama Bugando au Kcmc ziliasisiwa na kumilikiwa na makanisa sio mtu binafsi , ndio maana nawaita waislam ni watu wehu hapa duniani sio Tz tu
HUNA AKILI WEWE.
HIZO KCMC NA BUGANDO JUZI UMMY MWALIMU KALALAMIKA LICHA YA KUTOA RUZUKU YA BILIONI MOJA KILA MWAKA KWAO ILA BADO HAWAWASAIDII WANANCHI.
PIA HUU NI MWANZO NA MWISHO WA KUJADILIANA NA WW.
NAKUBLOCK SITAWEZA KUONA QUOTE ZAKO TENA
 
Back
Top Bottom