Uturuki ni mwiba kwa NATO,yuko huku na kule.

Uturuki ni mwiba kwa NATO,yuko huku na kule.

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Mataifa ya magharibi yameshtushwa na uamuzi wa Uturuki kuziwachia benki zake 5 kutumia mfumo wa ulipaji kimtandao wa Mir ulioasisiwa na Urusi.Wakati huo huo Uturuki imeanza kununua gesi ya Urusi kwa kutumia sarafu ya Ruble ya Urusi.
Kutumika kwa mfumo wa kadi za Mir badala ya Visa na Mastercard kutawawezesha watalii wa Urusi kutembea na kulipia huduma nchini Uturuki bila shida yoyote.
Juzi raisi Erdogan alikutana kwa mazungumzo ya faragha na raisi Putin wa Urusi kwenye mji wa Sochi ikiwa ni wiki kadhaa tangu walipokutana kule nchini Iran. Nchi za NATO zinasema hatua hiyo ya Uturuki na mataifa mengine rafiki wa Urusi utavifanya vikwazo vya kiuchumi kwa Urusi kutokuwa na athari zilizokusudiwa.
1659941744208.png
 
Hawa jamaa ndio maana walitoswa kujiunga EU,masnich sana
Na hii ndio sababu kubwa ya Uturuki kuwachezea mchezo kama huo hawa wabaguzi wa kidini..

EEU ni christianity community wamekataa Mturuki kujiunga katika Umoja wa Ulaya kwasababu za Kidini..

Wamempa Mturuki umoja wa NATO kwa maslahi yao,kwavile Mturuki anapakana na Mrusi kwenye Black sea..

Bravo Turkey
 
Uturuki ni masnitch namba moja hata yeye huyo urusi huwa wanamsnitch mara kadhaa.
 
Mataifa ya magharibi yameshtushwa na uamuzi wa Uturuki kuziwachia benki zake 5 kutumia mfumo wa ulipaji kimtandao wa Mir ulioasisiwa na Urusi.Wakati huo huo Uturuki imeanza kununua gesi ya Urusi kwa kutumia sarafu ya Ruble ya Urusi.
Kutumika kwa mfumo wa kadi za Mir badala ya Visa na Mastercard kutawawezesha watalii wa Urusi kutembea na kulipia huduma nchini Uturuki bila shida yoyote.
Juzi raisi Erdogan alikutana kwa mazungumzo ya faragha na raisi Putin wa Urusi kwenye mji wa Sochi ikiwa ni wiki kadhaa tangu walipokutana kule nchini Iran. Nchi za NATO zinasema hatua hiyo ya Uturuki na mataifa mengine rafiki wa Urusi utavifanya vikwazo vya kiuchumi kwa Urusi kutokuwa na athari zilizokusudiwa.
View attachment 2317731
Uturuki ni malaya malaya [ Kwa sauti ya Mwalimu ]
 
Mataifa ya magharibi yameshtushwa na uamuzi wa Uturuki kuziwachia benki zake 5 kutumia mfumo wa ulipaji kimtandao wa Mir ulioasisiwa na Urusi.Wakati huo huo Uturuki imeanza kununua gesi ya Urusi kwa kutumia sarafu ya Ruble ya Urusi.
Kutumika kwa mfumo wa kadi za Mir badala ya Visa na Mastercard kutawawezesha watalii wa Urusi kutembea na kulipia huduma nchini Uturuki bila shida yoyote.
Juzi raisi Erdogan alikutana kwa mazungumzo ya faragha na raisi Putin wa Urusi kwenye mji wa Sochi ikiwa ni wiki kadhaa tangu walipokutana kule nchini Iran. Nchi za NATO zinasema hatua hiyo ya Uturuki na mataifa mengine rafiki wa Urusi utavifanya vikwazo vya kiuchumi kwa Urusi kutokuwa na athari zilizokusudiwa.
View attachment 2317731
Wanajitambua hawa
 
NATO Kwasasa hawezi kumfanya chochote huyo jamaa wanamuhitaji,wanahitaji Kura yake ili Sweden na Finland zipate fursa ya kujiunga na NATO na Erdogan analijua hilo na anatumia fursa vizuri Ila hilo Jambo likipita sitashangaa mikwaruzano ikaanza tena kama kipindi kile cha Trump
 
Kwani hao nato wanaweza kuizuia Russia kufanya inachotaka
Ndiyo. Siku Urusi akijaribu kurusha hata jiwe tu kwenye nchi mwanachama wa NATO ndiyo itakuwa mwisho wake wa mikwara bubu kwa mataifa madogo madogo.
 
Ndiyo. Siku Urusi akijaribu kurusha hata jiwe tu kwenye nchi mwanachama wa NATO ndiyo itakuwa mwisho wake wa mikwara bubu kwa mataifa madogo madogo.
Unamtishia MTU mwenye silaha za technologia ya Hali ya juu pamoja na silaha za nuclear? Hakuna nchi duniani itakayotaka kuingia vitani na Warusi hata marekani yenyewe inasema haitaki ungomvi moja Kwa moja na warusi.
 
Uturuki kama India ni mataifa pekee yanayoendesha kwa vitendo sisa ya kutofungamana na upande wowote! Urusi na China hawana tatizo ni nchi isiyofungamana na upande wowote, ila Marekani ndo huumia sana!! Urusi hana tatizo na Uturuki au China kuwa karibu na Marekani lakini Marekani huumia sana kuona Uturuki au India kuwa karibu na Urusi!!
 
Back
Top Bottom