Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja. Bila kanuni Wachezaji wa timu za kihuni kama Coast Union watafanya wanavyotaka bila kikwazo.Inabidi itungwe kanuni ya kutoa red card moja kwa moja kwa mchezaji anayepoteza muda. Sisi mashabiki tunataka kuangalia kwa dakika 90 na si pungufu!
Umekaa kitaarabu sana Khadija Kopa anasubiri.Huku kwetu kuna yule mwamuzi mmoja wa kike anayepangwa mara kwa mara kuchezesha mechi za timu fulani hivi na kuibeba kupitia maamuzi yenye utata, ajiangalie sana.
Kuna siku wahuni watakuja kumtwanga ngumi.
hakina Three Malongo wajiandaeSafi Sana bado Huku Tanzania Football Filam na wahuni wao kitawakuta tu.
Tena huyu ilitakiwa avunjwe kiunoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Refa wa Wydad angepigwa naye dadeki kamzamisha mnyama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na Arajiga pia kuibeba team fulani, afu alifunguwa pia.Huku kwetu kuna yule mwamuzi mmoja wa kike anayepangwa mara kwa mara kuchezesha mechi za timu fulani hivi na kuibeba kupitia maamuzi yenye utata, ajiangalie sana.
Kuna siku wahuni watakuja kumtwanga ngumi.