KWELI Uume huacha kukua mwanaume anapofikisha umri wa miaka 20

KWELI Uume huacha kukua mwanaume anapofikisha umri wa miaka 20

Taarifa hii imethibitika kuwa ya kweli baada ya kufanya tathmini ya kina
Hivi ni kweli kuwa ukomo wa kurefuka na kunenepa kwa uume ni miaka 20?

Yaani mtu mwanaume mwenye umri wa miaka 25 au 30, kamwe hawezi ku experience ongezeko la ukubwa wa uume wake?

1617737231_charles-deluvio-kCpGrE0G8NE-unsplash.jpg

Kwa maana nyingine, ukubwa wa uume wa mwanaume akiwa na miaka 20, ndio atakaokuwa nao akifikisha miaka 35?
 
Tunachokijua
Uume ni kiungo kinachofanya kazi kuu mbili, kutoa takamwili za mkojo pamoja na kushiriki tendo la ndoa. Muundo wake wa anatomia huruhusu kufanyika kwa kazi zote hizi mbili pasipo kuingiliana.

Kwa mujibu wa taasisi ya Weill Cornell Medicine, urefu wa uume hutofautiana miongoni mwa wanaume kulingana na asili yao. Vipimo vya kawaida huwa kama ifuatavyo;
  1. Urefu wa kawaida wa uume usiosimama ni wastani nchi 3.4-3.7 (8.6-9.3 cm)
  2. Urefu wa kawaida wa uume uliosimama ni wastani wa nchi 5.1-5.7 (12.9-14.5cm)
Mwanzo na mwisho wa ukuaji wa Sehemu za Siri
Ukuaji wa kasi wa uume hutokea wakati wa kubalehe kwenye wastani wa umri wa miaka 12 au mapema zaidi. Ukuaji huu huendelea hadi kufikia umri wa miaka ya mapema ya 20 ya mwanaume.

Kubalehe kwa kawaida huanza kati ya umri wa miaka 9 na 14 na hudumu hadi miaka mitano au zaidi, kulingana na umri ambao huanza. Katika umri huu, mambo yafuatayo hutokea kwa wavulana:
  1. Kuongezeka kwa ukubwa wa korodani
  2. Kuongezeka kwa ukubwa (urefu) wa uume
  3. Kuota nywele nywele sehemu za siri na kwapani
  4. Kumwaga shahawa
  5. Sauti kuwa nzito
Utafiti wa mwaka 2011 wenye kichwa cha habari “Growth and Development of Male External Genitalia” wa Analia Tomova et al, uliohusisha wanaume 6200 wenye umri kati ya miaka 0-19 ulibaini kuwa uume hukua kwa wastani wa nusu nchi kila mwaka kwenye umri wa miaka 11-15, kisha ukuaji huendelea kupungua kadri umri unavyozidi kuongezeka.

Aidha, baada ya kuzungumza pia na wataalam wa afya ya binadamu, JamiiForums imebaini kwamba ukuaji wa uume husimama baada ya kumaliza umri wa balehe, ambao hutofautiana miongoni mwa vijana.

Kwa mujibu wa tafiti, balehe ya vijana wengi hukoma wakiwa na miaka 16 na wengine huendelea hadi wafikiapo umri wa miaka 20.

Mbinu mbadala za kukuza uume
Kumekuwepo na matangazo ya bidhaa nyingi zinazodai kuwa na uwezo wa kuongeza ukubwa (urefu) wa uume. Aidha, baadhi ya mazoezi hudaiwa pia kuwa na uwezo wa kuongeza ukubwa wa sehemu hizo.

Kwa mujibu wa Urology Care Foundation, mbinu hizi hazina ufanisi mkubwa. Hata hivyo, matumizi ya vifaa maalum yametajwa na baadhi ya tafiti kuwa na uwezo wa kuongeza urefu kwa kiasi fulani na sio unene.
Hivi ni kweli kuwa ukomo wa kurefuka na kunenepa kwa uume ni miaka 20?

Yaani mtu mwanaume mwenye umri wa miaka 25 au 30, kamwe hawezi ku experience ongezeko la ukubwa wa uume wake?

View attachment 2580717

Kwa maana nyingine, ukubwa wa uume wa mwanaume akiwa na miaka 20, ndio atakaokuwa nao akifikisha miaka 35?
Sio uume tu
 
Good afternoon Guys

Yangu ni machache tu wapendwa

Ni dhadhiri kwasasa kumekua na wimbi kubwa la watu wanauza dawa za kurefusha uume, zipo dawa za kienyeji na pia za dawa za kizungu. Ukipita mitandaoni Yani Kila Kona dawa zakurefusha uume/ dawa ya kurudisha heshima ya ndoa.

Swali langu, je ni kweli kuna dawa za kurefusha uume? Endapo zipo je madhara ya kutumia hizo dawa ni yapi?

Naomba wataalam wa Afya mtusaidie, ni ukweli usiopingika watu wanasumbuliwa na tatizo la kibamia ndio maan wauzaji wamekua wengi mitandaoni.
 
Good afternoon Guys

Yangu ni machache tu wapendwa

Ni dhadhiri kwasasa kumekua na wimbi kubwa la watu wanauza dawa za kurefusha uume, zipo dawa za kienyeji na pia za dawa za kizungu. Ukipita mitandaoni Yani Kila Kona dawa zakurefusha uume/ dawa ya kurudisha heshima ya ndoa.

Swali langu, je ni kweli kuna dawa za kurefusha uume? Endapo zipo je madhara ya kutumia hizo dawa ni yapi?

Naomba wataalam wa Afya mtusaidie, ni ukweli usiopingika watu wanasumbuliwa na tatizo la kibamia ndio maan wauzaji wamekua wengi mitandaoni.
Nafikiri shida si vibamia, shida kubwa ipo vichwani mwa watu. Vibamia vipo zaidi vichwani mwa watu kuliko kwenye boxer.

Kuna watu wanataka kushindana na walikotokea.
 
Mimi napambana niongeze hata inchi moja

Nina miaka 27
 
Kwa nini urefushe uume wakati sehemu ya msisimko ya KE ipo karibu ma mashavu ya mbususu.

Labda useme kunenepesha uume ili kupambana na visima vipana na gubegube. CM 18 inatosha kabisa kwa mwanaume kwa maumbile ya kawaida. Hata wenye CM 12-18 wasijidharau zinatosha.

Huwezi kupambana na mlango ulipotokea. Just imagine mtoto mdogo ana kilo 3 hadi 5 anatokea hapo. Uume hata nusu kilo haufiki unataka kuikomesha KE.

Mwanamke mwenye stress zake kamwe haridhiki. Tuzikune kwa kiasi mabaharia.
 
Kwa nini urefushe uume wakati sehemu ya msisimko ya KE ipo karibu ma mashavu ya mbususu.

Labda useme kunenepesha uume ili kupambana na visima vipana na gubegube. CM 18 inatosha kabisa kwa mwanaume kwa maumbile ya kawaida. Hata wenye CM 12-18 wasijidharau zinatosha.

Huwezi kupambana na mlango ulipotokea. Just imagine mtoto mdogo ana kilo 3 hadi 5 anatokea hapo. Uume hata nusu kilo haufiki unataka kuikomesha KE.

Mwanamke mwenye stress zake kamwe haridhiki. Tuzikune kwa kiasi mabaharia.

mbona wanasema wanapenda kubwa?
 
Back
Top Bottom