KWELI Uume huacha kukua mwanaume anapofikisha umri wa miaka 20

Taarifa hii imethibitika kuwa ya kweli baada ya kufanya tathmini ya kina
Nafikiri shida si vibamia, shida kubwa ipo vichwani mwa watu. Vibamia vipo zaidi vichwani mwa watu kuliko kwenye boxer.

Kuna watu wanataka kushindana na walikotokea.

wanawake ndio wanaongoza kulalamika mkuu
 
Hee mbona nitakoma asee
 

mimi nahisi wanawake wasasa wamekumbwa na matatizo ya kili ya kupenda uume mkubwa kupitiliza, binafsi naamini ni ugonjwa.
 
mimi nahisi wanawake wasasa wamekumbwa na matatizo ya kili ya kupenda uume mkubwa kupitiliza, binafsi naamini ni ugonjwa.
Si ugonjwa hata, ni umalaya tu unaowasumbua. Kwa asilimia kubwa (kama si zote 100) wanawake wanaochambua size na kutaka kubwa ni wale ambao wameshapitiwa na njemba kibao. Ni ngumu kumkuta mwanadada mwenye kidume chake kimoja kilichomtoa bikra akilalamikia size kwani hata size zenyewe hazijui.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sasa mkuu wapa mjini tunapoishi kuna wengine zaidi ya hao
 
hawa wanataka kunambia mb.oo yangu ndo ilikuwa ivoivo toka nikiwa 20yrs! no way!
ningemmudu vp huyu mama chanja?
isijekuwa mb.oo za wazungu ndo hazikui hlf wanatuchanganya umo wote?
waafrika tuna pepo yetu bn
 
mimi nahisi wanawake wasasa wamekumbwa na matatizo ya kili ya kupenda uume mkubwa kupitiliza, binafsi naamini ni ugonjwa.
"Wafu wanakokotana, Jahazi na Tanga" , alisikika mlevi mmoja akiwapayukia vijana wawili waliokuwa wanatiana moyo akiwa anatembea huku anayumbayumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…