KWELI Uume huacha kukua mwanaume anapofikisha umri wa miaka 20

Taarifa hii imethibitika kuwa ya kweli baada ya kufanya tathmini ya kina
Aaaah mkuu tusitishane bn nchi 5 ni ndogo sn?....je, me mwenye 2.7
Muulize saizi ya kawaida n kuanzia ngapi hadi ngapi isije ikawa ana vipimo vyake tofauti na uhalisia
Af watu sijui wanachukuliaje hili suala la size yaan Kila mtu anajikadiria tu ooh Mara inch 7,8,..9,10.Cha kushangaza namna alivyochukua icho kipimo n tofauti kabisa na njia za kitaalamu badala yake Kila mtu ana njia yake huria ya upimaji.
Uhalisia wa inch 7 na kuendelea n tofauti na matarajio ya wengi kwa sababu ya ukosefu wa elimu ktk hili hivyo wengi huishia kuishi kwenye fumbo la kuwa na maumbile makubwa ilihali kiuhalisia n ya kawaida tu
Tafiti zote zilizowahi kufanyika zilihitimisha maumbile yenye ukubwa wa nchi 7+, n asilimia chache ya wanaume wenye nayo kwa sababu tayar yamezidi kipimo Cha wastani japo sio ulemavu Kam ilivyo wapo wanaume warefu Sana kwa kimo ambapo wengi hufaa kucheza basketball ingawa n asilimia ndogo ukilinganisha na wanaume wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…