Mbona hiyo ni hali ya kawaida, tumetofautiana kuna wengine wakipiz** cha kwanza wanaweza kuunganisha ila ni wachache sana, wengi wakip** cha kwanza kiafya huhitaji kupumzika kwenye dk 30-45 kabla ya kuendelea na gemu. Sasa kwako hujaeleza inachukua muda gani kuja raundi ya pili. Vile vile kwa wale wenye matatizo ya kutoweza kurudia hata mpaka lisaa limoja, kuna njia ngingi za kukurudisha uwanjani. Hapa unatakiwa kutumia STIMULANT .Kuna ambao hutumia energy drink kwa mfano, grand malt, redbull, dragon, zile vitu vya azam, kahawa etc. lakini energy drink si nzuri kiafya. Lakini njia rahisi ambayo hutumiwa na wengi ni kuangalia video za xxx, hiii haichukui muda inasimama na unaweza kuendelea. Lakini njia inaweza mafuta yakakuishia njiani, kwamba ukafanya alafu ukashangaa ikalegea safarini.
Njia nzuri ni kuweka concentration ako kwenye jambo/tukio na kusahau shida na adha zote zinazokusumbua. Ukiweza hii uta perfom effectively na wala hutaona shida yeyote. Sio unakwenda uwanjani unaanza kukukmbuka madeni, kazi, shida, na majanga ambayo zitakuhamisha kwenye gemu
Hope clearly understoood men!