Uume kupoteza uthabiti wake wa kusimama

OCC Doctors

Senior Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
113
Reaction score
172
Ni nadra sana mwanamume kushindwa kusimamisha uume, tatizo kubwa ni muda wa muendelezo wa kusimamisha uume. Hali hii huweza kusababishwa na matatizo ya kisaikolojia (kujihisi mwenye hatia, hofu, huzuni, na wasiwasi, au majukumu yanayo mkabili).

Mara nyingi, hali ya uume kupoteza uthabiti wake wa kusimama husababishwa na ugonjwa, hupelekea mwanaume kutoweza kusimamisha tena hapo baadae.

Hata hivyo Sababu za kisaikolojia lazima zizingatiwe katika kila kesi.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…