Isaack Newton
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 594
- 291
Habari wakuu,!
Aise mimi sijui kama ni tatizo au la, uume wangu huwa unasimama kila mda hata kama nikitoka kufanya mapenzi na GF wangu yani bado ndo kama nimeuchokoza na nikiona msichana kaachina kifua au upaja ndo kabisaaaa some time huwa nalazimika kuvaa boksa mbili ili nisiumbuke.
Jamani naombeni ushauri kuhusu hii hali na niliwahi kumuuliza mwalimu wangu akaniambia kwamba LIBIDO yangu ipo juu sana.
Aise mimi sijui kama ni tatizo au la, uume wangu huwa unasimama kila mda hata kama nikitoka kufanya mapenzi na GF wangu yani bado ndo kama nimeuchokoza na nikiona msichana kaachina kifua au upaja ndo kabisaaaa some time huwa nalazimika kuvaa boksa mbili ili nisiumbuke.
Jamani naombeni ushauri kuhusu hii hali na niliwahi kumuuliza mwalimu wangu akaniambia kwamba LIBIDO yangu ipo juu sana.