Uume kusimama kila mda

Uume kusimama kila mda

Kwanza nataka kukuulzia swali dogo. Unapenda hiyo hali au hupendi?
Km hupendi Dawa yake ndogo, FUNGA HUO UUME NA RUBBER BAND for three days utaona mabadiliko!
 
Habari wakuu,!
Aise mimi sijui kama ni tatizo au la, uume wangu huwa unasimama kila mda hata kama nikitoka kufanya mapenzi na GF wangu yani bado ndo kama nimeuchokoza na nikiona msichana kaachina kifua au upaja ndo kabisaaaa some time huwa nalazimika kuvaa boksa mbili ili nisiumbuke. Jamani naombeni ushauri kuhusu hii hali na niliwahi kumuuliza mwalimu wangu akaniambia kwamba LIBIDO yangu ipo juu sana.

UNA PEPO, nenda kwa Kakobe
 
Kwanza nataka kukuulzia swali dogo. Unapenda hiyo hali au hupendi?
Km hupendi Dawa yake ndogo, FUNGA HUO UUME NA RUBBER BAND for three days utaona mabadiliko!

Hamna haja ya kufunga, aende tu ROMBO! HAHAHAHAHAHAHA
 
Back
Top Bottom