Analeta Sanaa kwenye jumba la Sanaa😂Umeangalia sana porn hujawahi jiunga chaputa, Watu si wajinga bana
Muongo mkubwa wewe!!sijawahi kufanya nyeto,sema nimeangalia sana porn niliacha miaka 3
hapana kwa kwelinacheki tu mpka mshindo
😂😂😂 muoneni huyu!!Amini mkuu nilikuwa nazipakua nacheki tu mpka mshindo
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] tena nyeto mbaya sana ya aina hii kasha athirika kisaikolojia tayariiHiyo inaitwa nyeto bila kushika mkuu
mtu pekee anayeweza kubali hiyo sentensi ni mwanamkeAnaleta Sanaa kwenye jumba la Sanaa😂
🤓Hiyo inaitwa nyeto bila kushika mkuu
Tiba nini mkuu hapa
Tuwasiliane ninayo dawa nzuri sana ya kutibu hilo tatizo..Wadau me kijana miaka 32 maana toka nibalehe sijawahi kushiriki mahusiano ila umri huu nimeamua kuwa na mahusiano na mwanamke mmoja ili nioe tatizo linalonisumbua uume kusimama legelege hausimami vizuri mpka mwanamke analalamika,sijawahi kufanya nyeto,sema nimeangalia sana porn niliacha miaka 3 imepita je tiba yake nini na vipimo gani nikacheki hospital
Bora hata ya kujimaliza hii unaweza piga hata umekaa tu public[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] tena nyeto mbaya sana ya aina hii kasha athirika kisaikolojia tayarii
Haya wadau sniper masada tuachane na hiyo ya nyetoMuongo mkubwa wewe!!
Kazania uongo uone kama utapata tiba.
Shukrani mkuu
NakaziaHatutoi ushauri mpaka utengue kauli, yaani uangalie porn videos halafu usipige nyeto na hauna mwanamke?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vyote hivi kwa Mda gani?Hata ungefanya hayo unayosema hujafanya bado isingesababisha iwe legelege.
saga tangawizi, na vitungu saum kijiko kimoja kimoja changanya na asali vijiko viwili piga hiyo asubuhi na jion alaf tumia chai isiyo na yale majani ya chai ya kiwandani, tengeneza chai ya viungo tu tangawizi na vile viungo vingine ndo iwe chai yako.
Alaf tafuta mbegu za maboga zile zilizokaangwa zinauzwa kwenye supermarket tumia pia unaweza kula peke yake au nunua na korosho ule kama haitasimama hadi uone kero basi mkuu kweli una tatizo kubwa.
😁😁😂 unatufunga kamba apaAmini mkuu nilikuwa nazipakua nacheki tu mpka mshindo
Hiyo dose huh unga wa mdalasini mania kila siku auChukua tangawizi vipande vikubwa 3,unga wa mdalasini robo kikombe na unga wa karafuu vijiko 5 tia maji nusu lita chemsha kwa dakika 5,kunywa asubuhi na jioni kwa siku 14.
Utaipata habari yake