Uume kuwa wa moto kama vile mtu mwenye homa ni kawaida?

Swali lako halina mantiki
Ila ni hivi uume ili usimame lazima upelekewe damu (uwe supplied na damu ya kutosha) sababu uume si mfupa Bali ni spongy muscle ambayo hardness yake inatokana na full blood supply yake na damu ndo inaleta joto
 
Kwamba ndo anabalehe saizi πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ™Œ
Kabisa,hafahamu kama mjomba ili asimame damu inatakiwa ichape mwendo kwenye mkuyenge Na ndio maana unachemka.

Atafute shimo ya kupooza machine πŸ˜…
 
Una umri gani??
Ndo umegundua leo??
Hapo kabla ulikuwa sio hot??
Mtasababisha wengi wafanye experiment ya kuzigusa kila wakisoma uzi na komenti πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…