Uume: Silaha hatari zaidi ya AK-47

Uume: Silaha hatari zaidi ya AK-47

Babu Kijiwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2010
Posts
4,830
Reaction score
4,729
Wakati dunia ikiendelea na uvumbuzi wa zana mbalimbali za kivita hususan zana za kinyuklia na zile za kibaiolojia, hakuna uvumbuzi wowote duniani ambao umefanikisha kupatikana kwa silaha hatari zaidi kama uume.
Mods tafadhali msifute uzi huu kwani utaongelea kweli tupu 100%

Wakati silaha nyingine zikichakaza mwonekano wako wa nje na pengine kukuua, Uume unaweza kukuchakaza ki mwonekano mpaka kisaikolojia. Wapo maelfu ya wakazi wa dunia ambao wamejikuta wakipitia kipindi kigumu na wengine wakalazimika kujitoa uhai baada ya kukumbana na silaha hii hatari zaidi ulimwenguni.

Wapo watu ambao silaha hii imebadilisha kabisa mtazamo wao na kuzima ndoto zao maishani si wanaume wala wanawake. Kwa mfano, nchini India mwaka 2012 watu 26,000 walikumbana na silaha hii hatari na wengine kupoteza uhai, idadi hiyo imeongezeka kwa 9% kufikia mwaka 2019, hiyo ni takwimu ya nchi 1 tu.

Kumekuwa na taarifa zisizokuwa rasmi kuwa baadhi ya vyombo vya dola ktk nchi nyingine hutumia silaha hii kuwatuliza viherehere na imeonesha matokeo chanya kwani waliofanyiwa inasemekana hutulia kabisa na kuacha usumbufu kabisa.

Zipo tafiti nyingi zilizofanywa na kubaini kuwa hata suala la unyanyasaji wa kijinsia kwa zaidi ya 75% linasababishwa na silaha hii hatari.
My+weapon+is+a+penis+ban+me+i+dont+_8373ca81116f266786c9bd51d0b3c599.jpg

Penis+as+a+weapon+_b40ae7ab70c78cb89882f87067755677.jpg
 
Rafikiyangu alijifanya anajua kutoka na waume za watu. Siku hiyo tukamtafutia njemba 3 baada ya kumfuma zilimkimbiza hadi leo kashika adabu [emoji23]
Wakati dunia ikiendelea na uvumbuzi wa zana mbalimbali za kivita hususan zana za kinyuklia na zile za kibaiolojia, hakuna uvumbuzi wowote duniani ambao umefanikisha kupatikana kwa silaha hatari zaidi kama uume.
Mods tafadhali msifute uzi huu kwani utaongelea kweli tupu 100%

Wakati silaha nyingine zikichakaza mwonekano wako wa nje na pengine kukuua, Uume unaweza kukuchakaza ki mwonekano mpaka kisaikolojia. Wapo maelfu ya wakazi wa dunia ambao wamejikuta wakipitia kipindi kigumu na wengine wakalazimika kujitoa uhai baada ya kukumbana na silaha hii hatari zaidi ulimwenguni.

Wapo watu ambao silaha hii imebadilisha kabisa mtazamo wao na kuzima ndoto zao maishani si wanaume wala wanawake. Kwa mfano, nchini India mwaka 2012 watu 26,000 walikumbana na silaha hii hatari na wengine kupoteza uhai, idadi hiyo imeongezeka kwa 9% kufikia mwaka 2019, hiyo ni takwimu ya nchi 1 tu.

Kumekuwa na taarifa zisizokuwa rasmi kuwa baadhi ya vyombo vya dola ktk nchi nyingine hutumia silaha hii kuwatuliza viherehere na imeonesha matokeo chanya kwani waliofanyiwa inasemekana hutulia kabisa na kuacha usumbufu kabisa.

Zipo tafiti nyingi zilizofanywa na kubaini kuwa hata suala la unyanyasaji wa kijinsia kwa zaidi ya 75% linasababishwa na silaha hii hatari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumekuwa na taarifa zisizokuwa rasmi kuwa baadhi ya vyombo vya dola ktk nchi nyingine hutumia silaha hii kuwatuliza viherehere na imeonesha matokeo chanya kwani waliofanyiwa inasemekana hutulia kabisa na kuacha usumbufu kabisa.
alt="Penis+as+a+weapon+_b40ae7ab70c78cb89882f87067755677.jpg"]1421345[/ATTACH][/CENTER]
Kuna kiherehere mmoja anawasumbua sana wakazi wa mji mmoja mkubwa sana nchini, kwa muonekano hii silaha itamfaa kutuliza kiherehere chake.
 
Bange na kuberi hakika vizuiwe kwa nguvu zote
Bora Mungu akunyime akili na IQ kuliko uume (manhood). Sisi wanaume waafrika ndio tunu na fahari yetu.

Yapeleke tu miroketi yao anga za juu na vibamia vyao lakini Nigga bado tuko juu kwa zawadi hii ya uume licha hata ya kujisaidia porini na vichakani.
 
Kuna mwimbaji wa hip hop Bongo..ali nyamazishwa na ii siraha
 
Back
Top Bottom