Uume umesimama toka juzi mpaka hivi sasa baada ya kula dawa ya mtaalamu

Jistue kidogo na umeme yaani shot ikishindika pambana nayo Hali hiyo maana kusex sio kukomoana we mchezee tu mpenzio ataridhika ulitaka umpe mishindo ashindwe kutembea
 
Mweleze tena yule rafiki yako ili akupeleke kwa mtaalamu mwingine akai neutralize.
 
Tafuta toy ugegede...utalala tu huo
 
Acha comedy, nakushauri ukale kichuri na unywe uchi mwingi
 
Endelea kufanya mapezi si ulipenda , kumkomesha mke wako endeleo ndo ulitaka hivyo , dawa hiyo ikiisha ,nguvu zako zitapungua Mara mbili , ukinywa tena zinazidi kukusimamishia kuliko hawamu ya kwanza, ikiisha tena wewe ni anisi mwezi mzima , cha msingi hacha kunywa utarudi hali yako ya kawaida .
 
Ambao hawatashtuka kuwa hili ni tangazo la biashara,nashauri warudi tena shule wakaongeze maarifa,kuzaliwa mjini ni sawa na form six wa shamba..
 
Humu kuna mademu kibao ambao huwa hawaridhishwi na jamaa zao...waombe wakusaidie....
 
Nakushauri waambie mods ubadili jina utumie Pentagon
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…