Uume umesimama toka juzi mpaka hivi sasa baada ya kula dawa ya mtaalamu

Uume umesimama toka juzi mpaka hivi sasa baada ya kula dawa ya mtaalamu

Habari wa MMU!!!

Baada ya kugundua kuwa uwezo wangu wa kufanya mapenzi umepungua kiasi, niliamua kuomba ushauri kwa rafiki yangu wa karibu.

Rafiki yangu alisikitika sana lakini aliahidi kunisaidia kwa hari na Mali iliniweze kurudi hari yangu ya zamani hivyo aliniconnect na mtaalamu wa tiba mbadala.

Nilifanikiwa kupata dawa kutoka kwa mtaalamu huyo, alinipa dawa hizo ambapo alinielekeza nile masaa mawili kabla ya kufanya tendo.

Cha kushanga baada ya kula na kufanya hilo tendo uume haujarudi kwenye hali yake ya kusinyaa( uume umedinda) mpaka hivi sasa ninavyoandika Uzi huu(siku 2) hivyo kupelekea kushindwa kufanya shughuli zangu za kila siku.

Naombeni mnisaidie Ndugu zangu hali ni mbaya sana maana nimepiga mpaka puli lakini bado.
Bill kapicha hi hainogi aisee,
 
Usitumie nguvu na muda mwingi nini cha kufanya.Tembea na mke wa mtu katika maeneo hatarishi kufumaniwa. Ukishafumaniwa ghafla itapoteza mawasiliano na ubongo na kusinyaa
 
Weka uume kwenye barafu, muda mfupi utasinyaa na baadae nenda onana na daktari hospital utapewa ushauri
 
Usitumie nguvu na muda mwingi nini cha kufanya.Tembea na mke wa mtu katika maeneo hatarishi kufumaniwa. Ukishafumaniwa ghafla itapoteza mawasiliano na ubongo na kusinyaa
mkuu unataka nitolewe roho
 
Chukua picha ya samaki hasa Sato, kisha anza kula ugali ukiangalia hiyo picha ya samaki na hakikisha wakati huo upo uchi kabisa.
IMG_20180928_115033_997.JPG


Sent from my TECNO-L5 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom