Uume umesimama toka juzi mpaka hivi sasa baada ya kula dawa ya mtaalamu

Uume umesimama toka juzi mpaka hivi sasa baada ya kula dawa ya mtaalamu

Habari wa MMU!!!

Baada ya kugundua kuwa uwezo wangu wa kufanya mapenzi umepungua kiasi, niliamua kuomba ushauri kwa rafiki yangu wa karibu.

Rafiki yangu alisikitika sana lakini aliahidi kunisaidia kwa hari na Mali iliniweze kurudi hari yangu ya zamani hivyo aliniconnect na mtaalamu wa tiba mbadala.

Nilifanikiwa kupata dawa kutoka kwa mtaalamu huyo, alinipa dawa hizo ambapo alinielekeza nile masaa mawili kabla ya kufanya tendo.

Cha kushanga baada ya kula na kufanya hilo tendo uume haujarudi kwenye hali yake ya kusinyaa( uume umedinda) mpaka hivi sasa ninavyoandika Uzi huu(siku 2) hivyo kupelekea kushindwa kufanya shughuli zangu za kila siku.

Naombeni mnisaidie Ndugu zangu hali ni mbaya sana.
Pole sana dogo ukilala ndio hauamki tena,nahisi umekiuka masharti
 
Una simamisha mashine siku tatu mfukulizo mbele ya shemeji na dada yako au usha hama hapo?
 
Agiza maji ya Baridi kali mwagia uone kama haisinyai mzee baba.

Hizi dawa zingine muwe mnaweka kwa kiasi.
 
Habari wa MMU!!!

Baada ya kugundua kuwa uwezo wangu wa kufanya mapenzi umepungua kiasi, niliamua kuomba ushauri kwa rafiki yangu wa karibu.

Rafiki yangu alisikitika sana lakini aliahidi kunisaidia kwa hari na Mali iliniweze kurudi hari yangu ya zamani hivyo aliniconnect na mtaalamu wa tiba mbadala.

Nilifanikiwa kupata dawa kutoka kwa mtaalamu huyo, alinipa dawa hizo ambapo alinielekeza nile masaa mawili kabla ya kufanya tendo.

Cha kushanga baada ya kula na kufanya hilo tendo uume haujarudi kwenye hali yake ya kusinyaa( uume umedinda) mpaka hivi sasa ninavyoandika Uzi huu(siku 2) hivyo kupelekea kushindwa kufanya shughuli zangu za kila siku.

Naombeni mnisaidie Ndugu zangu hali ni mbaya sana maana nimepiga mpaka puli lakini bado.
Muite mtu akutie kidole huko nyuma

Itasinyaa faster 2
 
Habari wa MMU!!!

Baada ya kugundua kuwa uwezo wangu wa kufanya mapenzi umepungua kiasi, niliamua kuomba ushauri kwa rafiki yangu wa karibu.

Rafiki yangu alisikitika sana lakini aliahidi kunisaidia kwa hari na Mali iliniweze kurudi hari yangu ya zamani hivyo aliniconnect na mtaalamu wa tiba mbadala.

Nilifanikiwa kupata dawa kutoka kwa mtaalamu huyo, alinipa dawa hizo ambapo alinielekeza nile masaa mawili kabla ya kufanya tendo.

Cha kushanga baada ya kula na kufanya hilo tendo uume haujarudi kwenye hali yake ya kusinyaa( uume umedinda) mpaka hivi sasa ninavyoandika Uzi huu(siku 2) hivyo kupelekea kushindwa kufanya shughuli zangu za kila siku.

Naombeni mnisaidie Ndugu zangu hali ni mbaya sana maana nimepiga mpaka puli lakini bado.

Ulitafuta dawa ya kukusaidia, sasa imekusaidia, unaomba tena ushauri, sikuelewi.

Kwa sababu wewe ndio ulitafuta hilo tatizo, basi inabidi upambane nalo.

MKIAMBIWA HIZO DAWA SI NZURI HAMSIKII
 
Ulitafuta dawa ya kukusaidia, sasa imekusaidia, unaomba tena ushauri, sikuelewi.

Kwa sababu wewe ndio ulitafuta hilo tatizo, basi inabidi upambane nalo.

MKIAMBIWA HIZO DAWA SI NZURI HAMSIKII
sio kwa staili hii mkuu... Minilitaka usimame kidogo tu
 
Mkiambiwa muache kujaribu kila kilicho mbele yenu mnaona watu wajinga.. Sasa huo uwezo wako ulipima kwa kipimo gani ukagundua umeshuka.. Pia mkishauriwa kuhusu diet bora na kuacha kufanya fanya mapenzi kama jogoo mnaona watu jinga.. Sasa hapo huna familia tayari betri ya kubust na ukifikia umri staiki si utakuwa unaweka gari kilimani weyeeeeeeeeeeeeeeee....
 
Back
Top Bottom