Mshamba wa kusini
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,857
- 3,593
- Thread starter
-
- #21
hapana mkuuMkuu Yule demu uliye mkimbia kisa umemuona nyoka ndiyo alikuja ukaamua kumywea Dawa kabisa.
Pole sana dogo ukilala ndio hauamki tena,nahisi umekiuka mashartiHabari wa MMU!!!
Baada ya kugundua kuwa uwezo wangu wa kufanya mapenzi umepungua kiasi, niliamua kuomba ushauri kwa rafiki yangu wa karibu.
Rafiki yangu alisikitika sana lakini aliahidi kunisaidia kwa hari na Mali iliniweze kurudi hari yangu ya zamani hivyo aliniconnect na mtaalamu wa tiba mbadala.
Nilifanikiwa kupata dawa kutoka kwa mtaalamu huyo, alinipa dawa hizo ambapo alinielekeza nile masaa mawili kabla ya kufanya tendo.
Cha kushanga baada ya kula na kufanya hilo tendo uume haujarudi kwenye hali yake ya kusinyaa( uume umedinda) mpaka hivi sasa ninavyoandika Uzi huu(siku 2) hivyo kupelekea kushindwa kufanya shughuli zangu za kila siku.
Naombeni mnisaidie Ndugu zangu hali ni mbaya sana.
unanitisha mkuuPole sana dogo ukilala ndio hauamki tena,nahisi umekiuka masharti
Kunywa mma baridi sanaaaamkuu nimekunywa lakini bado
Hahahaha!!! Hivi huyu ndo yule anayefanya kazi Pentagon na ndo mtanzania pekee aliyekuwa huko.Pentagon napo kumbe kuna wataalamu (waganga)
nimekunywa mkuu...nimepiga mpaka puli lakini badoKunywa mma baridi sanaaaa
Muite mtu akutie kidole huko nyumaHabari wa MMU!!!
Baada ya kugundua kuwa uwezo wangu wa kufanya mapenzi umepungua kiasi, niliamua kuomba ushauri kwa rafiki yangu wa karibu.
Rafiki yangu alisikitika sana lakini aliahidi kunisaidia kwa hari na Mali iliniweze kurudi hari yangu ya zamani hivyo aliniconnect na mtaalamu wa tiba mbadala.
Nilifanikiwa kupata dawa kutoka kwa mtaalamu huyo, alinipa dawa hizo ambapo alinielekeza nile masaa mawili kabla ya kufanya tendo.
Cha kushanga baada ya kula na kufanya hilo tendo uume haujarudi kwenye hali yake ya kusinyaa( uume umedinda) mpaka hivi sasa ninavyoandika Uzi huu(siku 2) hivyo kupelekea kushindwa kufanya shughuli zangu za kila siku.
Naombeni mnisaidie Ndugu zangu hali ni mbaya sana maana nimepiga mpaka puli lakini bado.
mmmmh!! hapana kwa kweliMuite mtu akutie kidole huko nyuma
Itasinyaa faster 2
ndiye huyu huyu mkuu" mara aseme anaishi Pentagon"... mara anaishi kwa shemeji yake " Ambaye huwa anamshika makalio dada yake mbele yake".... basii ilimradi tafarani tuHahahaha!!! Hivi huyu ndo yule anayefanya kazi Pentagon na ndo mtanzania pekee aliyekuwa huko.
hahaa haaaMkuu Yule demu uliye mkimbia kisa umemuona nyoka ndiyo alikuja ukaamua kumywea Dawa kabisa.
kaniambia ni mtafute mtaalamu niongeenaeRudi tena kwa rafiki yako wa karibu
Hahahaha ukijulikana kwa kaliba fulani JF ni shida sana unless uwe na uwongo mzuri na mwenye kumbu kumbu kubwaDawa umenywea pentagon??
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]walahi huu ni upuuziRudi ukamgegede huyo mganga (kwa namna yoyote mgegedue tu) mambo itakaa sawa!
Habari wa MMU!!!
Baada ya kugundua kuwa uwezo wangu wa kufanya mapenzi umepungua kiasi, niliamua kuomba ushauri kwa rafiki yangu wa karibu.
Rafiki yangu alisikitika sana lakini aliahidi kunisaidia kwa hari na Mali iliniweze kurudi hari yangu ya zamani hivyo aliniconnect na mtaalamu wa tiba mbadala.
Nilifanikiwa kupata dawa kutoka kwa mtaalamu huyo, alinipa dawa hizo ambapo alinielekeza nile masaa mawili kabla ya kufanya tendo.
Cha kushanga baada ya kula na kufanya hilo tendo uume haujarudi kwenye hali yake ya kusinyaa( uume umedinda) mpaka hivi sasa ninavyoandika Uzi huu(siku 2) hivyo kupelekea kushindwa kufanya shughuli zangu za kila siku.
Naombeni mnisaidie Ndugu zangu hali ni mbaya sana maana nimepiga mpaka puli lakini bado.
sawa mkuu
sio kwa staili hii mkuu... Minilitaka usimame kidogo tuUlitafuta dawa ya kukusaidia, sasa imekusaidia, unaomba tena ushauri, sikuelewi.
Kwa sababu wewe ndio ulitafuta hilo tatizo, basi inabidi upambane nalo.
MKIAMBIWA HIZO DAWA SI NZURI HAMSIKII