Uume unaniwasha ndani kwa ndani, nifanye nini?

Uume unaniwasha ndani kwa ndani, nifanye nini?

RoadLofa

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2017
Posts
1,509
Reaction score
3,313
Mambo vipi humu ndani aisee sijui ugonjwa gani huu umenipata yaani ikifika mida ya kulala kuanzia saa 3 usiku ngozi ya mwili mzima Inawasha balaa Hadi kupelekea kujikuna Kuna ovyo usiku kucha nafuu ni pale ninaposinzia tu..

Ila pia limeibuka Hadi uume nao umekuwa ukiwasha kwa ndani kwa ndani yaani nayo najikuta na ifikicha tu ili kupunguza muwasho msije sema Nina magonjwa yenu ya wazee wa ngono zembe.

Mwenye solution na hii Hali please msaada dawa gani nitumie ili kuondokana na hii Hali
 
Mambo vipi umu ndani aisee sijui ugonjwa gani huu umenipata yaani ikifika mida ya kulala kuanzia saa 3 usiku ngozi ya mwisho mzima Inawasha balaa Hadi kupelekea kujikuna Kuna ovyo usiku kucha nafuu ni pale ninaposinzia tu..

Ila pia limeibuka Hadi mboo nayo imekuwa ikiwasha kwa ndani kwa ndani yaani nayo najikuta na ifikicha tu ili kupunguza muwasho msije sema Nina magonjwa yenu ya wazee WA ngono zembe
Mwenye solution na hii Hali please msaada dawa gani nitumie ili kuondokana na hii Hali
Hakikisha kila siku, gari inalala ndani ya parking.

Utanishukuru.
 
Gono Hilo, wahii sindano zako 3 za mshipa ya mkono Kwa elfu 15 tu kituo chcht Cha afyaa🤪🤪

Sindano n Bora kuliko vidongeee
Watu bhana gono vipi? Sijatembea na demu Nina mwezi na ninawashwa mwili mzima aswa ikifika usiku mwanzo nilianza kuwashwa ngozi na sa hivi imeamia kwenye mboo Inawasha Ndani kwa Ndani na sio kwa nje
Hakikisha kila siku, gari inalala ndani ya parking.

Utanishukuru.
Sijakuelewa mkuu
Hakikisha kila siku, gari inalala ndani ya parking.

Utanishukuru.
Sijakuelewa mkuu
 
Nilipatwa na tatizo la uume kuwasha Kwa ndani nikaenda kupima na kukutikana na UTI na typhoid,,nikatumia cephalexin baada ya Muda nikaenda pima tena nikakuta no typhoid ila UTI pulcel imeongezeka Toka 30-100 ,nikamuuliza sio magonjwa ya zinaa ,daktari alikataa,nimetumia azuma Sasa napata nafuu.


Nb mwili una namuna tofauti za kutoa taarifa unapovamiwa na magonjwa
 
Back
Top Bottom