Barabara ya vumbiGono ilo wadada wengi sijui kwanini wana gono Mimi niliwahi tembea na dada siku 2 zinazofata nikapata dalili kama zako hawa madada wa miaka hii sijui kwanini asilimia kubwa wana gono
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Barabara ya vumbiGono ilo wadada wengi sijui kwanini wana gono Mimi niliwahi tembea na dada siku 2 zinazofata nikapata dalili kama zako hawa madada wa miaka hii sijui kwanini asilimia kubwa wana gono
Mkuu gono halichukuag hata masaa ma 5 lazima lijibu kwa mwanaume sio siku mbiliiGono ilo wadada wengi sijui kwanini wana gono Mimi niliwahi tembea na dada siku 2 zinazofata nikapata dalili kama zako hawa madada wa miaka hii sijui kwanini asilimia kubwa wana gono
Kwanini unafanya ngono zembe? Umepima na UKIMWI? Yawezekana amekuambukiza na HIV pia.Gono ilo wadada wengi sijui kwanini wana gono Mimi niliwahi tembea na dada siku 2 zinazofata nikapata dalili kama zako hawa madada wa miaka hii sijui kwanini asilimia kubwa wana gono
Anaweza kuwa mkeo piaMjomba Nina mwezi sijatembea na mdada nani kakwambia nimetembea na mdada
Huo muwasho wa mwili ni Scabies I thinkMambo vipi humu ndani aisee sijui ugonjwa gani huu umenipata yaani ikifika mida ya kulala kuanzia saa 3 usiku ngozi ya mwili mzima Inawasha balaa Hadi kupelekea kujikuna Kuna ovyo usiku kucha nafuu ni pale ninaposinzia tu..
Ila pia limeibuka Hadi uume nao umekuwa ukiwasha kwa ndani kwa ndani yaani nayo najikuta na ifikicha tu ili kupunguza muwasho msije sema Nina magonjwa yenu ya wazee wa ngono zembe.
Mwenye solution na hii Hali please msaada dawa gani nitumie ili kuondokana na hii Hali
Kaonane na specialist wa ngozi na uchukuliwe vipimo zaidi. Yaamkini ugonjwa mpya umeibuka.Mambo vipi humu ndani aisee sijui ugonjwa gani huu umenipata yaani ikifika mida ya kulala kuanzia saa 3 usiku ngozi ya mwili mzima Inawasha balaa Hadi kupelekea kujikuna Kuna ovyo usiku kucha nafuu ni pale ninaposinzia tu..
Ila pia limeibuka Hadi uume nao umekuwa ukiwasha kwa ndani kwa ndani yaani nayo najikuta na ifikicha tu ili kupunguza muwasho msije sema Nina magonjwa yenu ya wazee wa ngono zembe.
Mwenye solution na hii Hali please msaada dawa gani nitumie ili kuondokana na hii Hali
Bottom line is, nenda hospitaliWatu bhana gono vipi? Sijatembea na demu Nina mwezi na ninawashwa mwili mzima aswa ikifika usiku mwanzo nilianza kuwashwa ngozi na sa hivi imeamia kwenye mboo Inawasha Ndani kwa Ndani na sio kwa nje
Sijakuelewa mkuu
Sijakuelewa mkuu
Unawashwa uume pekee yake?Mambo vipi humu ndani aisee sijui ugonjwa gani huu umenipata yaani ikifika mida ya kulala kuanzia saa 3 usiku ngozi ya mwili mzima Inawasha balaa Hadi kupelekea kujikuna Kuna ovyo usiku kucha nafuu ni pale ninaposinzia tu..
Ila pia limeibuka Hadi uume nao umekuwa ukiwasha kwa ndani kwa ndani yaani nayo najikuta na ifikicha tu ili kupunguza muwasho msije sema Nina magonjwa yenu ya wazee wa ngono zembe.
Mwenye solution na hii Hali please msaada dawa gani nitumie ili kuondokana na hii Hali
Nda hospital na uaAche umalayaMambo vipi humu ndani aisee sijui ugonjwa gani huu umenipata yaani ikifika mida ya kulala kuanzia saa 3 usiku ngozi ya mwili mzima Inawasha balaa Hadi kupelekea kujikuna Kuna ovyo usiku kucha nafuu ni pale ninaposinzia tu..
Ila pia limeibuka Hadi uume nao umekuwa ukiwasha kwa ndani kwa ndani yaani nayo najikuta na ifikicha tu ili kupunguza muwasho msije sema Nina magonjwa yenu ya wazee wa ngono zembe.
Mwenye solution na hii Hali please msaada dawa gani nitumie ili kuondokana na hii Hali
Ndio nimejifunza kaka nashkuru nikaenda kupima hadi hiv lkn ikawa negative yaan hawa wadada sio hata wa kuwaamini nimekoma kuparamia paramia ovyo gono sio mchezo yaan ule muwasho hadi kutembea vzr unashindwaKwanini unafanya ngono zembe? Umepima na UKIMWI? Yawezekana amekuambukiza na HIV pia.
Wadada wengi wa miaka magono yapo nje nje hatari sanaBarabara ya vumbi
Hao ni chawa jitahidi usafi usirudie nguo oga mara mbili kwa siku tumia dawa scaboma kupaka panapowashaHapana na ngozi mwili mzima.
Katumia lugha ya picha ktk kichwa cha habari yake kwanini kaweka mkazo wa muwasho katika mboo kama ilikuwa mwili mzima mbona hajaweka mkazo katika goti au pua huyu ana gono tuMkuu gono halichukuag hata masaa ma 5 lazima lijibu kwa mwanaume sio siku mbilii