Natumai mmeamka salama wapendwa,
Naomba kuuliza kusimama kwa uume wa mtoto mdogo kwa muda mrefu kunakoambatana na maumivu makali kunasababishwa nini ? naombeni msaada wenu kama kuna mtu mwenye uelewa kuhusiana na hili kwani mtoto wangu alipata hilo tatizo jana usiku na mpaka asubuhi hii bado anaendelea kulalamikia maumivu makali anayoyapata kutokana na tatizo hilo.
Ni mtoto wa miaka mitatu.
karibuni wapendwa tubadilishane uzoefu.
Naomba kuuliza kusimama kwa uume wa mtoto mdogo kwa muda mrefu kunakoambatana na maumivu makali kunasababishwa nini ? naombeni msaada wenu kama kuna mtu mwenye uelewa kuhusiana na hili kwani mtoto wangu alipata hilo tatizo jana usiku na mpaka asubuhi hii bado anaendelea kulalamikia maumivu makali anayoyapata kutokana na tatizo hilo.
Ni mtoto wa miaka mitatu.
karibuni wapendwa tubadilishane uzoefu.