Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah eti GYM lolnimeanza kujichua kwenye 2019 mazoezi mimi ni mtu wa gym kila sku niko mazoezin
Itakua kwa interval papo hapo hawezi kufanya hio kitu ni sawa na kujiua kwa kujikata mishipa mikubwa ya artery mkononi,
Ukitaka kupona acha vyote,tafuta mke uoe,au hujui kuwa zinaa ni dhambi na hakuna dhambi isiyo na madhara,sasa hayo tayari ni madhara yake...Kama kichwa cha habari kinavyoeleza wadau nipo kwenye hali ya taharuki toka siku ya juzi nikikutana na mwanamke uume wangu unabaki kuwa legevu tofauti kabisaa na hali yangu halisi
Ilianza hivi :
Siku 5 zilizopita nilikutana na huyu mwanamke na tendo zima lilienda vyema kabisaa nilienda round 3 bila mgogoro wowote lakini siku ya juzi (alhamisi) hali ilikuwa tofauti round ya kwanza hakukua na shida yoyote uume wangu uliamka fast ila baada ya round ya kwanza uume ulichelewa kuamka ilichukua zaidi ya dakka mbili bila kuamka hii hali ilinishangaza niliendelea kusubiri kwa zaidi ya dkk 10 nothing happened sote tulibaki kushangaa hio siku nikakausha nikaendelea na mishe nyingine siku hio hio jion nilirudi nikajaribu kukutana na yule mdada uume haukusimama duuh nilishangaa kabisaa! badae nilipoenda bafuni ikabidi nijaribu kuangalia porn videos uume ukasimama nikajichua round 2 kesho yake nikakutana na yule mwanamke pia uume hausimami
Jana nilienda kwa Dr
Nikamueleza Kaishia kunambia ni issue ya Psychology na kuwa huwa inawatokea watu wengi
ni ya kweli hayo wadau ?
wengine wamesema au ex wangu kaniroga
H
ila hili silipi uzito ukilinganisha huwa sina kanuni ya kubadili badili wanawake wa mwisho tulieachana nae ilikuwa mwanzo wa huu mwaka hatukuwa na ugomvi mkubwa bali vurugu ndogo ndogo tuu tukaachana
Umri wangu
Umri wangu 26 yrs
Kuhusu swala la porn videos na kujichua
Huwa siangalii mara kwa mara porn videos kwa mwezi mzima nawea kufululiza kutazama hizo videos kwa siku 4 na kwa siku ikawa mara mbili au 3 hivo kwa mwezi naweza zitazama mara 10 or less na kwa mwez naweza piga nyeto mara 6 mpk 10
Kuhusu kazi nazozifanya
kazi zangu si za nguvu ni kazi ofisini muda mwingi nakuwa kwenye kompyuta
KWENU WADAU NAOMBA USHAURI
Tafiti za mchongoHata usitie shaka,haupo pekeyako mbona kati ya 100% ni 20% tu ya wanaume wanaosimamisha.so feel free church
Hata usitie shaka,haupo pekeyako mbona kati ya 100% ni 20% tu ya wanaume wanaosimamisha.so feel free church
Ha ha haa,usikasirike bhanaHizi ndio dharau zenyewe sasa kwa sisi wanaume
interval mkuu
sikupangii cha kupost ila usifanye utani kwenye issue zilizo siriaz asanteUtaanza kusimamishiwa wee, very soon
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
yeah ni intervalItakua kwa interval papo hapo hawezi kufanya hio kitu ni sawa na kujiua kwa kujikata mishipa mikubwa ya artery mkononi,
yes mkuu moja kati ya vitu natazamia kutimiza 2024 ni ndoa inshallahUkitaka kupona acha vyote,tafuta mke uoe,au hujui kuwa zinaa ni dhambi na hakuna dhambi isiyo na madhara,sasa hayo tayari ni madara yake...
boss issue ya madeni kwa sasa sina deni la kunipa pressure na kuhusu kazi kulikuwa kuna project ambayo deadline ni week ijayo na majukum yake yako juu yangu ila sidhan km inaweza kunipa stress kiasi hichoo kuhusu ugonjwa wa moyo na presuure sijapima na ugomvi wa family hatuna ispokuwa viungomvi vidogo vidogo vinavyosababishwa na Wivu kuhusu unene hapana me mwembamba kuhusu likizo natarajia kuianza tareh 15 dec nashukuru saana kwa ushauri mkuuUna madeni ?
Kipato chako kinaridhisha?
Family yenu mko sAwa hamna migogoro ?
Kazn upepo ukoje ? Stress ?
Una tatizo la presha ? Moyo ? Kapime level ya sukari mwilini!
Achana na porno, acha kujichua, kula vzr mlo kamili ! Hakikisha kila asbh kabla ya kuoga walau una_sweat! Push ups, au nunua Kamba uwe unaruka ,,,, !
Kama Ni mnene jitahidi upungue ,,,
Jipe likizo ya Kama mwezi mmoja na fuata hayo maelekezo hapo ! Leta mrejeshoo
Huna ugonjwa Ni ishu ya psychology tu
mkuu nakushukuru mnoo kwa ushauri wako nitatafta malaya flan soon alafu nitaleta mrejeshoPia jaribu kubadilisha mwanAmke,,, huenda uliyepo nae huna hisia nae,,
Kingine huyo ulienae tayari anajua shida yako so ukikutana nae Tena utakuwa na hofu ya kutokupafom vizuri !!
Sio ushauri mzuri,,, tafuta Dem Malaya,,,kachukue bar au kanunue,,, utajawa na confidence, then hata usipopafom hutajickia vby coz Ni hit and run! Ukijiona upo fresh rudi kwa Dem wako !
Kama Ni mtumiaji pombe tafuta siku unywe upitilize kidg afu demu pia anywe kidogo mfanye rough sex, confidence itakuja tu !
We chizi😂Anza kugawa tak*
ni kweli mkuu ila kuhusu pesa toka nizaliwe hiki ndo kipindi nilicho imara zaidi kiuchumi 😀 nahisi nilipaswa kwenda raundi 70Hela ndo nguvu za kiume. Kama una stress wakati wa kugegeda lazima jogoo asipande mtungi.
Tatizo la nguvu za kiume kwa asilimia kubwa ni psychological tu.
Kutafuta Malya bado naona Sio Suluisho sahihii, maana utaenda kwa mentality ya kujaribu uone inamka au lah, cha kufanya tune akili yako kuwa iyo ni ishu ya kawaida inaweza mtokea mtu yeyote kwenye badhi ya mechi zake, ungekuwa haudindishi kabisa ata ukiwa peke ako ndo ungepata shaka ila kama inadinda fresh ukiwa peke ako Au ukicheki ex, Binafsi naona hauna Tatizo ni Hisia zilikata tu kwa muda uo kwa uyo mwanamke uliekua nae. Cha kufanya Kaa Muda kidogo upite ata wiki mbili afu Umuite uone kama Italala ukiwa naemkuu nakushukuru mnoo kwa ushauri wako nitatafta malaya flan soon alafu nitaleta mrejesho