nilitumia kinga..,punyeto sipigi ila ukweli mwanamke hana ushiriano kwenye sexy kalala tu1.Ulitumia kinga kipindi unafanya , kuna condom huwa hazina ubora mzur na ukutane na uke mkavu inakuwa shida
2. Mazingira ya uke yalikuwaje masaf au machafu Huenda yalisababisha?
3. Je huwa unapiga nyeto.... Muda fulani inachangia kwa kiasi kikubwa?
Hebu npe majibu Kati ya hayo niliyotaja tuzidi kusaidiana?
aisee nakushukuru mno mkuu kwa muda na mchango wako ngoja nikalifanyie kazi hiloHiyo ndo shida kubwa iliyokutokea akili yako ulitegemea upate kitu fulani afu ujakutana nacho mwanamke anatakiwa atoe mchango mkubwa ili uweze kuingiza vizur?
Kaa nae muongee vizur kwa lugha nzur hata kama mnaanz kwa utani umwambie vitu gan ulipenda ufanyiwe cku hiyo? ili ujue tatizo ni ushirikiano au kitu kingine? Hapo itakupa mwangaza wa kufumbua tatizo lako kwa mapana
Kwa hiyo hii picha yangu hapa kwenye avatar yangu inawakilisha nini mkuu?Hiv mtu kwanin aweke pic za mashaka hiv tena mtoto wakiume?? Tupia kitu chako pic inatoa maneno hata 1000 ya kudiscribe personality ya mtu faham hili
Acha kupiga puliJaman naomba kuleta kwenu jambo hili,
.... nilipotaka kufanya mapenzi mara ya kwanza uume wangu haukusimama kikakamavu kitendo ambacho kilipelekea kushindwa kuingiza hata mara moja sasa nashindwa kuelewa ni nini tatizo......... mpaka naogopa kujaribu tena
woga na ĸυтojιaмιnι нυcнangιa........cнυĸυlιa тendo jaмвo la ĸawaιda υѕιwe мwogasijafanya tena mkuu nishauri
Mwanamke kalala tu? Khaa!! Kama kalala tu ndio mtamu huyo.. Wewe ni mpiga puli mkubwa.. Si unaona hata mikono yako hio kwenye picha inaonyesha.. Hata kama utakataa ila siti unaijua moyoni... Na usikatae sema ukweli usaidiwe jinsi ya kuacha.. We ficha tu maradhi.. Puli haDi Obama alipiga sembuse wewe....nilitumia kinga..,punyeto sipigi ila ukweli mwanamke hana ushiriano kwenye sexy kalala tu
obama kupiga puli sio sababu ya mimi kupiga mkuu... NIMESEMA SIJAWAHI KUPIGA PULI. nishauri kwa jambo lingineMwanamke kalala tu? Khaa!! Kama kalala tu ndio mtamu huyo.. Wewe ni mpiga puli mkubwa.. Si unaona hata mikono yako hio kwenye picha inaonyesha.. Hata kama utakataa ila siti unaijua moyoni... Na usikatae sema ukweli usaidiwe jinsi ya kuacha.. We ficha tu maradhi.. Puli haDi Obama alipiga sembuse wewe....
Tatizo ulilo nalo ni la wapiga puli ndio wanakuwa naloobama kupiga puli sio sababu ya mimi kupiga mkuu... NIMESEMA SIJAWAHI KUPIGA PULI. nishauri kwa jambo lingine
Acha kupiga nyeto aka puli na kuangalia upuuzi wa ponoJaman naomba kuleta kwenu jambo hili,
Nilipotaka kufanya mapenzi mara ya kwanza uume wangu haukusimama kikakamavu kitendo ambacho kilipelekea kushindwa kuingiza hata mara moja sasa nashindwa kuelewa ni nini tatizo,mpaka naogopa kujaribu tena.
kondom zipi hazina ubora mkuu .... msaada1.Ulitumia kinga kipindi unafanya , kuna condom huwa hazina ubora mzur na ukutane na uke mkavu inakuwa shida
2. Mazingira ya uke yalikuwaje masaf au machafu Huenda yalisababisha?
3. Je huwa unapiga nyeto.... Muda fulani inachangia kwa kiasi kikubwa?
Hebu npe majibu Kati ya hayo niliyotaja tuzidi kusaidiana?