Nina umri wa 28 sasa,nina mchumba hatujaanza kuish pamoja. Tatzo langu ni kwamba hisia zangu za kimapenz zipo karibu sana. Nikiwaza mapenz kdg tu uume unasimama,na kutuliza inakuwa kaz. Mda mwngne nikiwa garin hyo hal ikitokea napitiliza kituo,mpaka uume ulale. Nakosa raha mda mwngne. Nisaidien nifanyeje hali ipungue coz naweza kuja kuumbuka cku moja? Je,kiafya tatzo liko wapi? Mungu awabariki kwa kwel.
Nina umri wa 28 sasa,nina mchumba hatujaanza kuish pamoja. Tatzo langu ni kwamba hisia zangu za kimapenz zipo karibu sana. Nikiwaza mapenz kdg tu uume unasimama,na kutuliza inakuwa kaz. Mda mwngne nikiwa garin hyo hal ikitokea napitiliza kituo,mpaka uume ulale. Nakosa raha mda mwngne. Nisaidien nifanyeje hali ipungue coz naweza kuja kuumbuka cku moja? Je,kiafya tatzo liko wapi? Mungu awabariki kwa kwel.
Nina umri wa 28 sasa, nina mchumba hatujaanza kuish pamoja. Tatzo langu ni kwamba hisia zangu za kimapenz zipo karibu sana. Nikiwaza mapenz kdg tu uume unasimama, na kutuliza inakuwa kaz.
Mda mwngne nikiwa garin hyo hal ikitokea napitiliza kituo, mpaka uume ulale. Nakosa raha mda mwngne. Nisaidien nifanyeje hali ipungue coz naweza kuja kuumbuka cku moja? Je,kiafya tatzo liko wapi?
Mungu awabariki kwa kwel.
Mimi nina umri wa miaka 27 sijaoa, huwa nina hisia za haraka sana.
Nikigusana na jinsia ya kike huwa uume husimama ,hata nikiwa naongea na rafik yangu wa kike huwa uume husimama.
Nakumbuka siku 1 natoka kariakoo ili nishuke magomeni usalama,nikashndwa kushuka kwa kuwa uume ulikuwa umesimama,nilikuwa nimekaa na mdada.
Nikaenda kushuka manzese darajani. Huwa mda mwingne nakosa raha. Ndg wana JF, huu ni ugonjwa au nguvu za kiume zimenizidi?. Naombeni ushauri wenu kwa kweli ili nisije aibika .
Natangulia kutoa shukrani,kwa mtakaonipa ushaur nini cha kufanya. MUNGU awalinde.
mtumie mchumba wako vizuri
....Kuna demu moja naye hapa kwetu ana hali hiyo mpaka anajaribu kukamata watu kwa nguvu,yafaa uwe naye huyoNina umri wa 28 sasa,nina mchumba hatujaanza kuish pamoja. Tatizo langu ni kwamba hisia zangu za kimapenzi zipo karibu sana. Nikiwaza mapenzi kidogo tu uume unasimama na kutuliza inakuwa kazi.
Mda mwingine nikiwa garini hiyo hali ikitokea napitiliza kituo, mpaka uume ulale.
Nakosa raha mda mwingine. Nisaidieni nifanyeje hali ipungue coz naweza kuja kuumbuka siku moja? Je,kiafya tatizo liko wapi?
Mungu awabariki kwa kweli.
hapa hukupata msaada ...???....mbona kuna ushauri mzuri tu ulipewa??..take care..
Jamani huu ni ugonjwa ama ni nini?
Started by ESPIRIT, 10th August 2014 09:46
Nina umri wa 28 sasa,nina
mchumba hatujaanza kuish pamoja. Tatizo langu ni kwamba hisia zangu za
kimapenzi zipo karibu sana. Nikiwaza mapenzi kidogo tu uume unasimama na
kutuliza inakuwa kazi.
Mda mwingine nikiwa garini hiyo hali ikitokea napitiliza kituo, mpaka
uume ulale.
Nakosa raha mda mwingine. Nisaidieni nifanyeje hali ipungue coz naweza
kuja kuumbuka siku moja? Je,kiafya tatizo liko wapi?
Mungu awabariki kwa kweli.
Uume ndo kazi yenyewe ya kusimama sasa unataka ufanyeje? ukiona umesimama ujue unadai kitu.
Hater...hater...how are you darling hater