Mchanganyiko wa pilipili chunvi limao, una effect gani?Hata kama, ngoja nikusaidie.
>hiyo mboga imeundwa na misuli kama misuli mingne mf:ya mikono na mapaja.
>kinachoitajika ni mazoez{phyisical exercise} yakufanya misuli misuli ya mboga ikue na kuimalika kama mtu akuzavyo misuli ya kifua,mikono,mapaja,n.k.
>Unaweza buni mwenyewe mazoez hayo.
Ama uni pm
>siamini ktk dawa za kienyeji kwan nying huwa na side effect nying.
Hahahahahaaaaaaa! salaleeeeeeeeeeeeee! Duh! Kwa hiyo wewe unakibamia lakini unaweza kukoroga pipa la maharage na lisiungue!! Loh! Ngoja niku PM nije nihakikishe kwa mijicho yangu mwenyewe halafu nilete huo ushuhuda hapa Jamvini.
Lakini ufanisi wake sio mzuriye mshauri nasaha njinsi ya kuitumia mashine hata ikiwa ndogo inaweza kusaga na kukoboa!
jiamini,nani amekwambia kibamia hakiridhishi?sio wote wanapenda mitarimbo mikubwa.mimi mmoja wapo hicho hicho kibamia kinanitosha.sitaki pm
Wapo ila nawao wanataka kubwa kuliko mpaka iwagowe. Sio akikohowa kule, inatia haibu.
Lakini ufanisi wake sio mzuri
Wanawake wafupi nyapu fupi? Mh! Ngoja tuwaulize wenyewe, wapo humu.Kama wao ni mdogo watataka vipi nanii kubwa? wakati hiyo Bamia inawatosha? Nasikia pia wanawake wafupi pia Uk* wao ni mfupi
Huna lolote unataka ukohowe kichomoke (kibamia chake) kisha ukauze habari zake kwa mashoga zakoufanisi utakuwepo baada ya marekesho kufanyika
siyo kweli mkuu! yenyewe haina misuli ,ila ina sponge like material.
Mchanganyiko wa pilipili chunvi limao, una effect gani?
Mimi ni kijana na tatizo langu ni kwamba mboga yangu ni ndogo sana, sasa mara nyingi kwa kweli inani kwaza na muda mwingi nateseka sana kwa mawazo. Mademu wengi waminiacha
wengine wamekuwa sio waaminifu kwangu kitu kinachonifanya nihisi kuwa ni udogo wa mboga yangu.
Ukiniona ni bonge la handsome na kina dada wenyewe wana jileta lakini wengi na wachunia sana kwakujifanya kuwa mimi ni bonge la Mlokole flani kumbe uboo wangu mdogo hata mwanamke ukimkubalia utamtia siku ya kwanza ya pili ataanza kulalamika kwamba hasikii kitu.
Sasa utakuta mzee mzima na ji over work ili shughuli ifane lakini wapi jasho linatoka, basi ni matatizo na maumivu ya roho. Ukiachana nao wanaanza kutangaza basi balaa mtindo mmoja hebu ni saidie dada yangu.
Tungekuwa hatutizamani ujue
Hapo sasa, jiulize, maharage si yataungua yoteee chini!!!! mwe ! Mwe !Ataliweza pipa kweli?
kwa ushauri huo hata icho kijiti kitapotea kabisaahuo mchanganyiko pilipili limao, chumvi. Hapo itabidi ameze dawa za kuzuia maumivu kabla hajapaka hiyo dawa.