Uume wangu mdogo nazuga Mlokole


P. Didy ( Sean Combs ) ana kibamia chenye urefu wa nchi nne ( hapo kimekasirika ) na chembamba..( Accoring to Naomi Campbell ), The same to Snoop Dogg ( aCCORDING TO LIL KIM ) but wanafurahia maisha yao. Cha muhimu ni kuwa na uume wenye nguvu za kutosha..
 

usijali master, mbona wako wengi tu wenye 'ugali mdogo'?? a.k.a uke mdogo! go and look for them, raha ya kiatu kitoshe mguuni,kikibana maumivu na kikipwaya pia ni karaha!
 
Acha uzembe tumia bamia yako vizuri na pia hata ukiwa na pipi ya kifua unaweza kuitumia vizuri ukitulia. Ukishindwa kabisa muone Lizy....

Mkuu hebu fafanua kidogo khs pipi ya kifua na yale mambo yetu.
 
Last edited by a moderator:
mmmh uliwaona wapi wahindi kuwa wanaviduchu mkuu...unachopaswa ni kukamua ndimu uchanganye chumvi na pilipili kwa wingi halafu unapaka kwenye kichwa cha uboo kla unapoenda kulala ,matokeo ni ndani ya siku 3 tu...jaribu uone maajabu ya pilipili...
Kama pilipili ni dawa basi wahindi wangekuwa nazo kama za punda.....
lakini mbona hata nao ni viduchu.
 
?????? Kumbe !!!!
 
Ungesema huo urefu tungepata picha kamili. Hata hivyo kuliwa na uzi hapa unaosema twanga pilipili na chumvi, kamulia limao kwenye huo mchanganyiko. Jipake kwenye uume wakati wa kulala. Ndani ya siku saba utaona matokeo
 
Mleta mada fahamu kwamba uume una sort of misuli ambayo hutanuka na kuvutika kama ilivyo misuli ya mikono miguu etc. Ukifanyia mazoezi mikono yako utaona misuli inakuwa kibaunsa. Sasa unasubiri nini kufanyia kibamia chako maoezi kifutuke au kirefuke? Ni maoezi tu jamaa angu kila siku asubuhi au ukipata nafasi. Labda hujui au kama unajua ni uvivu wa kufanya tizi ya bamia iwe dushelele la nguvu. |Wengine wakasema weka pilipili , limau na chumvi .. hah haaaaa. Kama hujaomba jirani aje kukusaidia kuzima huo moto. Wee fanya imesimama nusu then pull , pull and pull every side 200 times everyday, kama haijawa refu kaa nyoka. Fikiri Mangi, acha uvivu eti. Warning . Do not end up in Puli maana utakuwa umeharibu zoezi zima la siku hiyo.
 
Kilibolo..

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…