Uume wangu mdogo nazuga Mlokole

Uume wangu mdogo nazuga Mlokole

mmh; ukiona size ndogo tumia akili zaidi.

Afu mwili wako wote haujatengenezwa kwa ub.oo peke yake, tumia sehemu zingine za mwili kuwaridhiwa wapenzio.

Waswahili tunasema 'punda afe lakini mzigo ufike'

Hahaha..hapo kwenye rangi ingekua ivyo sijui ingekuaje.......unakutana na mtu umbo lake likakaa kama ub.00.
 
Unataka kufanya majaribio sio?
siyo majaribio, ila ni experement, kwani umesahau somo la kemia, lazima ufanye ili uhakikishe ukichanganya hydrogen na carbon dioxide inatokea nn?
 
Mimi ni kijana na tatizo langu ni kwamba mboga yangu ni ndogo sana, sasa mara nyingi kwa kweli inani kwaza na muda mwingi nateseka sana kwa mawazo. Mademu wengi waminiacha
wengine wamekuwa sio waaminifu kwangu kitu kinachonifanya nihisi kuwa ni udogo wa mboga yangu.

Ukiniona ni bonge la handsome na kina dada wenyewe wana jileta lakini wengi na wachunia sana kwakujifanya kuwa mimi ni bonge la Mlokole flani kumbe uboo wangu mdogo hata mwanamke ukimkubalia utamtia siku ya kwanza ya pili ataanza kulalamika kwamba hasikii kitu.

Sasa utakuta mzee mzima na ji over work ili shughuli ifane lakini wapi jasho linatoka, basi ni matatizo na maumivu ya roho. Ukiachana nao wanaanza kutangaza basi balaa mtindo mmoja hebu ni saidie dada yangu.

Kumbe ULOKOLE unaficha mengi, hili sikulijua. Nitaacha kufukuzia mchumba wa kilokole.
 
Hivi nchi tat:tape2: ni urefu wa tuthipik? Sijui mahesabu sana

Mshukuru Mungu kwa kila jambo, ukilalamika sana anaweza hata kuifanya isidinde kabisa, wapo wengine wana dude kubwa lakini halifanyikazi. Pia huenda tu unajihisi kitu yako ndogo lkn si ndogo, kawaida ni inch 4-5. Lkn 3" inatosha kumridhisha mwanamke.
 
Mshukuru mungu kwa jinsi alivyokuumba, bora wewe unayo unaiita bamia, wapo wanatamani hata wangepewa toothpick. Good time hakuna mashida kwani wapo ke wenye k fupi pia.
 
Hata kama, ngoja nikusaidie.
>hiyo mboga imeundwa na misuli kama misuli mingne mf:ya mikono na mapaja.
>kinachoitajika ni mazoez{phyisical exercise} yakufanya misuli misuli ya mboga ikue na kuimalika kama mtu akuzavyo misuli ya kifua,mikono,mapaja,n.k.
>Unaweza buni mwenyewe mazoez hayo.

Ama uni pm

>siamini ktk dawa za kienyeji kwan nying huwa na side effect nying.
 
mtafute Bishanga akupe tuisheni ya katerero...... Evelyn Salt akupe ya squirting....... gfsonwin ya kutumia shanga na barafu...... Mtambuzi ya G-SPORT...... kuna dogo mmoja naye juzi juzi aliibuka hapa akadai ana taaruma ya kwenda chumvini!!!!!!!

hata ukucha unatosha kumfikisha mwanamke mkuu ,,,,, ila mwanamke mwenyewe asiwe Madame B
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ni PM nikukomboe na mateso ya dunia. Hata mimi yalinikuta miaka 10 iliyo pita, lakini sasa wanakimbia na chupi mkononi.
 
Hata kama, ngoja nikusaidie.
>hiyo mboga imeundwa na misuli kama misuli mingne mf:ya mikono na mapaja.
>kinachoitajika ni mazoez{phyisical exercise} yakufanya misuli misuli ya mboga ikue na kuimalika kama mtu akuzavyo misuli ya kifua,mikono,mapaja,n.k.
>Unaweza buni mwenyewe mazoez hayo.

Ama uni pm

>siamini ktk dawa za kienyeji kwan nying huwa na side effect nying.


siyo kweli mkuu! yenyewe haina misuli ,ila ina sponge like material.
 
Duh! Tumia pilipili, chnganya na chumvi , usisahau limao, paka wakati wa kulala, vumilia muwasho maana itakuwa. siyo mm niliyosema nanukuu tu.
Aongeze na Tangawizi na Bizari, bila kusahau mbilimbi..... Atapata dushelele kubwa kama TANGO
 
Back
Top Bottom