Uume wangu ulikuwa hausimami nimepona,Asante Mungu

Uume wangu ulikuwa hausimami nimepona,Asante Mungu

Ndugu zangu habarini, nilikuja hapa siku za nyuma nikiwa na tatizo la kutosimamisha.
Namshukuru Mungu sana nimepona, nawaombea pia wale ambao wanasumbuliwa na tatizo kama hili Mwenyezi Mungu awape wepesi wapone.

Binafsi nimepitia uzoefu mkubwa sana kipindi hiki Cha mpito, ila nawashukru Wana JF wote walionyesha Nia ya kunisaidia na wengine walinisaidia kadri ya uwezo wao. Lakini wapo pia ambao walikuwa kimaslahi zaidi kupitia changamoto yangu.

Nimetumia dawa nyingi sana nashindwa kuelewa hata niseme nimepona kwa dawa ipi, ila yote kwa yote Mungu ashukuriwe mno.

Nilienda kwa baba mmoja yeye anadili na magonjwa ya wanaume kushindwa kusimamisha tu, ni tabibu Toka 1990's nilikuta vijana wengi wakipata Tiba hapo nyumbani kwake, ila yeye sio Mganga ni mtu aliyeachiwa dawa na baba yake.

Nilichogundua vijana wengi kwasasa wanasumbuliwa na tatizo hili, alinipa huduma ila Mimi sikutaka kukaa hapo kama wengine maana Mimi tatizo langu halikuwa clonic kiasi Cha kuishi pale. Nimetumia dawa nyingi nashindwa kujua hata nimepona kwa dawa ipi.


Ila namshukuru Mungu sana nimepona, Mungu aendelee kubariki hili jukwaa la JF.
Clonic ni kitu gani hicho ? Anyway mnapoleta matangazo yenu humu muwe mnalipia kidogo ili JF iendelee kuwepo hewani😃
 
Clonic ni kitu gani hicho ? Anyway mnapoleta matangazo yenu humu muwe mnalipia kidogo ili JF iendelee kuwepo hewani[emoji2]
Siwezi kusema uongo kwenye afya ya mtu, Mimi mwenyewe nilikuwa mgonjwa kwahiyo najua uchungu wa hili tatizo.

Nyie mtafanya watu tushindwe kuja kutoa ushuuda humu kwa kuhofia kwamba tunafanya matangazo.
 
maji na chumvi changanyaa na udongo na mafuta kunywa unasimamaa mwanzomwishoo
 
Ndugu zangu habarini, nilikuja hapa siku za nyuma nikiwa na tatizo la kutosimamisha.
Namshukuru Mungu sana nimepona, nawaombea pia wale ambao wanasumbuliwa na tatizo kama hili Mwenyezi Mungu awape wepesi wapone.

Binafsi nimepitia uzoefu mkubwa sana kipindi hiki Cha mpito, ila nawashukru Wana JF wote walionyesha Nia ya kunisaidia na wengine walinisaidia kadri ya uwezo wao. Lakini wapo pia ambao walikuwa kimaslahi zaidi kupitia changamoto yangu.

Nimetumia dawa nyingi sana nashindwa kuelewa hata niseme nimepona kwa dawa ipi, ila yote kwa yote Mungu ashukuriwe mno.

Nilienda kwa baba mmoja yeye anadili na magonjwa ya wanaume kushindwa kusimamisha tu, ni tabibu Toka 1990's nilikuta vijana wengi wakipata Tiba hapo nyumbani kwake, ila yeye sio Mganga ni mtu aliyeachiwa dawa na baba yake.

Nilichogundua vijana wengi kwasasa wanasumbuliwa na tatizo hili, alinipa huduma ila Mimi sikutaka kukaa hapo kama wengine maana Mimi tatizo langu halikuwa clonic kiasi Cha kuishi pale. Nimetumia dawa nyingi nashindwa kujua hata nimepona kwa dawa ipi.


Ila namshukuru Mungu sana nimepona, Mungu aendelee kubariki hili jukwaa la JF.
Tafuteni hela vijana hakuna Ugonjwa wa Nguvu za Kiume.
 
Ndugu zangu habarini, nilikuja hapa siku za nyuma nikiwa na tatizo la kutosimamisha.
Namshukuru Mungu sana nimepona, nawaombea pia wale ambao wanasumbuliwa na tatizo kama hili Mwenyezi Mungu awape wepesi wapone.

Binafsi nimepitia uzoefu mkubwa sana kipindi hiki Cha mpito, ila nawashukru Wana JF wote walionyesha Nia ya kunisaidia na wengine walinisaidia kadri ya uwezo wao. Lakini wapo pia ambao walikuwa kimaslahi zaidi kupitia changamoto yangu.

Nimetumia dawa nyingi sana nashindwa kuelewa hata niseme nimepona kwa dawa ipi, ila yote kwa yote Mungu ashukuriwe mno.

Nilienda kwa baba mmoja yeye anadili na magonjwa ya wanaume kushindwa kusimamisha tu, ni tabibu Toka 1990's nilikuta vijana wengi wakipata Tiba hapo nyumbani kwake, ila yeye sio Mganga ni mtu aliyeachiwa dawa na baba yake.

Nilichogundua vijana wengi kwasasa wanasumbuliwa na tatizo hili, alinipa huduma ila Mimi sikutaka kukaa hapo kama wengine maana Mimi tatizo langu halikuwa clonic kiasi Cha kuishi pale. Nimetumia dawa nyingi nashindwa kujua hata nimepona kwa dawa ipi.


Ila namshukuru Mungu sana nimepona, Mungu aendelee kubariki hili jukwaa la JF.
...LIPIA TANGAZO...!

Sent from my TECNO BD4j using JamiiForums mobile app
 
Biashara biashara biashara biashara.......

Wewe na huyo babu yako mnataka kupiga watu
 
Ndugu zangu habarini, nilikuja hapa siku za nyuma nikiwa na tatizo la kutosimamisha.
Namshukuru Mungu sana nimepona, nawaombea pia wale ambao wanasumbuliwa na tatizo kama hili Mwenyezi Mungu awape wepesi wapone.

Binafsi nimepitia uzoefu mkubwa sana kipindi hiki Cha mpito, ila nawashukru Wana JF wote walionyesha Nia ya kunisaidia na wengine walinisaidia kadri ya uwezo wao. Lakini wapo pia ambao walikuwa kimaslahi zaidi kupitia changamoto yangu.

Nimetumia dawa nyingi sana nashindwa kuelewa hata niseme nimepona kwa dawa ipi, ila yote kwa yote Mungu ashukuriwe mno.

Nilienda kwa baba mmoja yeye anadili na magonjwa ya wanaume kushindwa kusimamisha tu, ni tabibu Toka 1990's nilikuta vijana wengi wakipata Tiba hapo nyumbani kwake, ila yeye sio Mganga ni mtu aliyeachiwa dawa na baba yake.

Nilichogundua vijana wengi kwasasa wanasumbuliwa na tatizo hili, alinipa huduma ila Mimi sikutaka kukaa hapo kama wengine maana Mimi tatizo langu halikuwa clonic kiasi Cha kuishi pale. Nimetumia dawa nyingi nashindwa kujua hata nimepona kwa dawa ipi.


Ila namshukuru Mungu sana nimepona, Mungu aendelee kubariki hili jukwaa la JF.
Si juzi tu ulisema umepona tatizo la K kuwa kavu?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Umeufanyia wapi majaribio kama unafanya kazi vizuri?

Wanaume tujitahidi kutenga muda wa mazoezi ata dakika 30 kwa siku, kwa wiki fanya mara 3-4 inatosha.

Hususa kengel exercises, deadlift, & Legs workouts.

Ukifanya hivyo hautakuwa na shida kama hizo ata kidogo.
 
Back
Top Bottom