Uume wangu ulikuwa hausimami nimepona,Asante Mungu

Clonic ni kitu gani hicho ? Anyway mnapoleta matangazo yenu humu muwe mnalipia kidogo ili JF iendelee kuwepo hewani😃
 
Clonic ni kitu gani hicho ? Anyway mnapoleta matangazo yenu humu muwe mnalipia kidogo ili JF iendelee kuwepo hewani[emoji2]
Siwezi kusema uongo kwenye afya ya mtu, Mimi mwenyewe nilikuwa mgonjwa kwahiyo najua uchungu wa hili tatizo.

Nyie mtafanya watu tushindwe kuja kutoa ushuuda humu kwa kuhofia kwamba tunafanya matangazo.
 
maji na chumvi changanyaa na udongo na mafuta kunywa unasimamaa mwanzomwishoo
 
Tafuteni hela vijana hakuna Ugonjwa wa Nguvu za Kiume.
 
...LIPIA TANGAZO...!

Sent from my TECNO BD4j using JamiiForums mobile app
 
Biashara biashara biashara biashara.......

Wewe na huyo babu yako mnataka kupiga watu
 
Si juzi tu ulisema umepona tatizo la K kuwa kavu?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Umeufanyia wapi majaribio kama unafanya kazi vizuri?

Wanaume tujitahidi kutenga muda wa mazoezi ata dakika 30 kwa siku, kwa wiki fanya mara 3-4 inatosha.

Hususa kengel exercises, deadlift, & Legs workouts.

Ukifanya hivyo hautakuwa na shida kama hizo ata kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…