Wapendwa kwani lazima tuige mifumo ya kiteknolojia ya wenzetu si tunaweza fanya kitu chepesi tu kutokana na mazingira yetu, mfano kuna magari yameunganishwa kwa mfumo wa kutumia gesi na umeme na hii teknolojia imefanyika nchini tena kwa gharama ndogo tu jamani.
Please, wataalamu mimi bado ninaimani na nyinyi kwa sehemu kubwa sana.
Wataalamu mkiamua tunaweza kutumia malighafi za kawaida zinazopatikana kwenye mazingira yetu ambazo ni nafuu (mkaunda injini, nk). Ninaimani wateja (soko la ndani) ni kubwa wataalamu wetu.