Asamehewe, kwani na yeye ni Binadaamu kama walivyo binadaamu wengine.
1. ni kawaida kabisa binaadamu akikasirishwa naye anaweza kukasirika na kutoa neno au tusi bila kutegemea.
2. Presure ya kazi na haswa jambo alilo kuwa analishughulikia linaweza pia likamfanya ashindwe kuvumilia.
kweli ni kiongozi lkn pia tusisahau naye pia ni Binadaamu sio malaika.
kweli kateleza kwa bahati mbaya, asihukumiwe kwa kosa moja, tukumbuke mazuri mengi aliyo yafanya.
tunaomba asihukumiwe wala asiadhibiwe kwa bahati mbaya iliyo tokea.
tumsamehe bure.
kila binadamu anaweza kughadhibika, hakuna mkamilifu, sio tabia yake,