Uuuuuuwi! - I don't even want to try this one..

Uuuuuuwi! - I don't even want to try this one..

You can't fathom such misuse of money...? Have you been living under a rock somewhere? In case you forgot...this is Tanzania. Nothing surprises me.

And she's got a very meaningful signature - i admire it, I won't comment about the avatar, maana nitakuwa kwenye kundi la 'ndivyo tulivyo' !! lol
 
Gazeti ni Alasiri.
Nadhani ni tatizo la kiuandishi tu.

Siyo tatizo la kiuandishi, sema tu sasa hivi habari zake zinaanza kukubalika kwamba siyo za kidaku kama hapo awali!!!
 
And she's got a very meaningful signature - i admire it, I won't comment about the avatar, maana nitakuwa kwenye kundi la 'ndivyo tulivyo' !! lol

Unaogopa Mwanakijiji kukuweka kwenye kundi la Ndivyo Tulivyo eeeh?
 
Unaogopa Mwanakijiji kukuweka kwenye kundi la Ndivyo Tulivyo eeeh?

Walaa... nina jibu langu nililokuahidi ndiyo linanifanya nisi conclude na kuweka maelezo mengi kuhusu hili swala. Mwanakijiji keshajiengua kutoka kwenye kundi hilo na katoa sababu zake.. sababu za mimi kukubali kuwa kundini baadhi yake nimesha ziandika, na zile za kujiengua bado sijazianisha vyema.

SteveD.
 
Walaa... nina jibu langu nililokuahidi ndiyo linanifanya nisi conclude na kuweka maelezo mengi kuhusu hili swala. Mwanakijiji keshajiengua kutoka kwenye kundi hilo na katoa sababu zake.. sababu za mimi kukubali kuwa kundini baadhi yake nimesha ziandika, na zile za kujiengua bado sijazianisha vyema.

SteveD.

Swali: Wapi walio wengi kati ya makundi ya Ndivyo Tulivyo na Sivyo Tulivyo? Na ni kundi lipi lenye nguzu zaidi kuzuia au kusababisha maendeleo?
 
This is ridiculous!! Poor journalism maybe a reason for such numbers. Si unajua waandishi wa kibongo, uvivu mwingi wakati mwingine anauliza watu waliokuwepo na wao pengine spika mbaya na makelele kibao. or could it be the editor's fault or probably pronunciation za kijerumani??
Nasema hivi kwa sababu I cannot fathom such misuse of money! Pliiizz tell me there is some other reason behind such numbers.


Bi mkubwa, na hivi ni weekend, kwani pronounciation za kijerumani zikoje/zinakuwaje?
 
Wana JF, kabla ya kusema, hili gazeti ni udaku, mwandishi siyo makini nk. ni vema kuhakikisha kuwa hizo figure zipo sahihi au la. Nimetafuta kila njia kuwasiliana na wahusika bila ya mafanikio. Sasa tunaweza kuendelea kuchunguza thamani ya misaada itolewayo na hawa wafadhili wetu. Hizi figure za ajabu ajabu na hasa penye misaada ya mashule iwe ni vitabu madawati nk. ni jambo la kawaida, sema wengi wetu hatujalikazia macho maana linakuja na kiini macho cha charity au wizi unaofanywa na halimashauri husika.
Kwa vile wanao pokea misaada wanaghubikwa na furaha ya kupokea mzigo, kesho mfadhili akija kuomba chochote, wao watakumbuka mamilion!! madawati!! nk. japo thamani iliyotajwa si sahihi. Hii ni kwa vile hawafahamu hata neno milliion ni ninii? Hii habari imezidi kunikumbusha yule adui UMASIKINI ambaye JKN aliona na mapema mojawapo ya maadui wakubwa.
Mafisadi wanajua fika njia nzuri ya kuendelea kututawala na kutugandamiza ni kutufanya masikini na mafukara maana haya yanawafanya waathirika wanyonge, waoga na hata kudhohofisha uwezo wa kufikiri. hapa imejidhihirisha, hivi Bw. CheUngele alishindwa kufanya mahesabu ya haraka haraka na kumwuliza huyu mfadhili kama figure anazotoa ni sahihi au la?
 
Yaani ina maana dawati moja ni Tsh - 1,571,428.57 (Shilingi milioni moja laki tano na usheee!!!)???????????????????

Halafu hili tatizo la ya madawati ina maana limeshakuwa sugu na kukosa kabisa ufumbuzi wa kudumu?????????

Huenda ni typo tu za Alasiri. Haiwezekani dawati la kawaida hata la mvule likazidi 100,000/- za madafu hata iweje!
 
Afisa Elimu Kinondoni Conferm takwimu hizo mapema kabla hujaundiwa tume.Ni kweli zimetumika sh.milini miambili sitini na nne?Kama data hizi ni zakweli basi uongozi wa shule hiyo ni mafisadi pamoja na Huyo mfadhili wachunguzwe kwa tuhuma za ufisadi.
 
Ah-Bwana wee. Nawe jifunze kusoma habari vizuri na ku-chambua. Hivyo wewe huoni hapo kuwa limetokea kosa la kuweka koma katika hizo Milioni. Usikurupuke kulaumu tu!!!!!
 
Ah-Bwana wee. Nawe jifunze kusoma habari vizuri na ku-chambua. Hivyo wewe huoni hapo kuwa limetokea kosa la kuweka koma katika hizo Milioni. Usikurupuke kulaumu tu!!!!!

uncle, welcome kijiweni bwa'kubwa!! hiyo ni outcry ya accountability kwa gazeti na mwandishi wao. majority yetu hapa tunajua kwamba yawezekana ikawa ni kosa la kiuhandishi, yap, lakini inakemewa hapa kwamba sio sahihi kuisahau hiyo koma...........wewe kama unaona sio big deal, basi kumbe hivyo ndivyo tulivyo!!.
 
Back
Top Bottom