Yani nikimeza tuu dawa hizi lazima nipate kizunguzungu na kichwa kuuma vibaya mno, pia nahisi kichefuchefu mbaya mno, kwa wataalam naombeni kama kuwa mtu anajua mbadala wa dawa hizi jamani, nilipewa kwa ajili ya amoeba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.