white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Kwa hali iliyofikia huku mtaani sasa serikali inatakiwa kuingilia kati. Kwani sasa vibanda vingi mtaani/stendi kila sehemu wanauza pombe hasa hizo kali, jamii ya konyagi, kwa sasa utakuta kibanda kinauza machungwa, pipi, soda, unga, mkaa hapo hapo wanauza pombe kali
Kwani mamlaka husika hasa halimashauri, ambao wanatoa leseni wako wapi? Sioni hata umuhimu wa kupiga marufuku vile viroba kwani hata sasa pombe ya 500, inapimwa. Jamani Serikali jaribuni kuliangalia hili suala, pombe ziuzwe sehemu husika tu.
Kwani mamlaka husika hasa halimashauri, ambao wanatoa leseni wako wapi? Sioni hata umuhimu wa kupiga marufuku vile viroba kwani hata sasa pombe ya 500, inapimwa. Jamani Serikali jaribuni kuliangalia hili suala, pombe ziuzwe sehemu husika tu.