Uuzaji wa jezi feki hautoweza kuisha nchini

Uuzaji wa jezi feki hautoweza kuisha nchini

Selemani Sele

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2023
Posts
319
Reaction score
711
Leo nikiwa matembezi yangu Kariakoo kujitafuta, nimeona jezi za Yanga na Simba za msimu huu Mpya zikiuzwa elfu 3 ,elfu 5 na Elfu 7 zimemwagwa chini machinga tena karibu na jengo la Simba mtaa wa Agrrey na watu wanazigombania sana tu.

Kwa hilo nimeona sio leo wala kesho uharamia wa jezi utaisha kwa sababu viongozi wenyewe wa timu hizi hawatilii mkazo.

Je wale waliokamatwa Mwaka jana wamefanywa nini hamna walichofanywa ni mbwembwe za mitandaoni tu.
Selemani Sele.
Shabiki wa Yanga SC kindaki ndaki.
 
Sasa niache jezi ya alf 7 nikanunue jezi 35-45
Kuna tofauti ya wanunuzi, Mimi sinunui jersey elfu saba, maaana najua hamna kitu, napoteza hela. Haitokaa, itakua inatosha jasho la ajabu, kufanya ninuke, siwezi ivaa sehemu yoyote na nikatambulika kwamba niko smart, kwingine hata kipato chako kikaonekana haba, au ukapoteza uaminifu. Siwezi vaa jezi elfu saba au 15, never on earth.
 
Kuna tofauti ya wanunuzi, Mimi sinunui jersey elfu saba, maaana najua hamna kitu, napoteza hela. Haitokaa, itakua inatosha jasho la ajabu, kufanya ninuke, siwezi ivaa sehemu yoyote na nikatambulika kwamba niko smart, kwingine hata kipato chako kikaonekana haba, au ukapoteza uaminifu. Siwezi vaa jezi elfu saba au 15, never on earth.
Ukiishi maisha ya show off ni yes lakini ukinunua jezi ya 7k na alonunua ya 45k halafu mkaenda taifa wote mtaonekana mmevaa jezi za simba✊🏾
 
Kuna tofauti ya wanunuzi, Mimi sinunui jersey elfu saba, maaana najua hamna kitu, napoteza hela. Haitokaa, itakua inatosha jasho la ajabu, kufanya ninuke, siwezi ivaa sehemu yoyote na nikatambulika kwamba niko smart, kwingine hata kipato chako kikaonekana haba, au ukapoteza uaminifu. Siwezi vaa jezi elfu saba au 15, never on earth.
Uko wapiii 😊
 
Ukiishinmaisha ya show off ni yes lakini ukinunua jezi ya 7k na alonunua ya 45k halafu mkaenda taifa wote mtaonelana mmevaa jezi za simba✊🏾
Hivi unafikiri nakulazimisha wewe, i am telling you my mind, ujue hivo, na 99% ya mashabiki wa mpira wanafanya hivo. Yaani duniani na ustaarabu wake , kwanini ujikaahfishe.
Sasa wewe vaa kwakusema si nimevaa niko sawa na wa 45 au laki mbili, bro hamko sawa. Labda jezi ziuzwe bei hyo.
 
Kuna tofauti ya wanunuzi, Mimi sinunui jersey elfu saba, maaana najua hamna kitu, napoteza hela. Haitokaa, itakua inatosha jasho la ajabu, kufanya ninuke, siwezi ivaa sehemu yoyote na nikatambulika kwamba niko smart, kwingine hata kipato chako kikaonekana haba, au ukapoteza uaminifu. Siwezi vaa jezi elfu saba au 15, never on earth.
Jezi za timu za tanzania aisee ni kituko hata hiyo ya 45 ni uchafu Fulani hivi siwezi kuvaa milele
 
Ukiishinmaisha ya show off ni yes lakini ukinunua jezi ya 7k na alonunua ya 45k halafu mkaenda taifa wote mtaonelana mmevaa jezi za simba✊🏾
Usilinganishe jezi ya elfu saba na jezi ya elfu arobaini. Kuvaa vizuri sio show off, ni kujiheshimu na kudhihirisha kijana uko active kichwani.

Mimi sio shabiki wa mpira ila ukivaa jezi feki nakuona tapeli umeiibia timu, limbukeni wa kutaka vitu usivyomudu na mkwepa majukumu unayedai unapenda timu ila kuigharamia inavyostahili hutaki.

Shabiki mwenye nia njema anajipanga kununua jezi halisi. Yule maskini kabisa ndio angalau asamahewe ila umaskini usiendekezwe.
 
Back
Top Bottom