Selemani Sele
JF-Expert Member
- Feb 25, 2023
- 319
- 711
- Thread starter
- #21
😂😂😂😂 Rejaj reja 35000Zinauza jumla kwa wauzaji wa rejareja...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂 Rejaj reja 35000Zinauza jumla kwa wauzaji wa rejareja...
😂😂Kila mtu starehe yake mwingine pombe,bangi ,sigara. Na mwingine mpiraIle tu kununua jezu la timu ni ujinga
Hii sasa ni kuvimba. Hii sikujibu.Jezi za timu za tanzania aisee ni kituko hata hiyo ya 45 ni uchafu Fulani hivi siwezi kuvaa milele
Ukishavaa jezi ya timu ya tanzania ujue ni uchafu umeuweka mwiliniHii sasa ni kuvimba. Hii sikujibu.
Wewe ndio FALA sasaUsilinganishe jezi ya elfu saba na jezi ya elfu arobaini. Kuvaa vizuri sio show off, ni kujiheshimu na kudhihirisha kijana uko active kichwani.
Mimi sio shabiki wa mpira ila ukivaa jezi feki nakuona tapeli umeiibia timu, limbukeni wa kutaka vitu usivyomudu na mkwepa majukumu unayedai unapenda timu ila kuigharamia inavyostahili hutaki.
Shabiki mwenye nia njema anajipanga kununua jezi halisi. Yule maskini kabisa ndio angalau asamahewe ila umaskini usiendekezwe.
Wewe ndio FALA sasaHii sasa ni kuvimba. Hii sikujibu.
Yaani kumbe Kuna watu mko na UFALA hivi?Hivi unafikiri nakulazimisha wewe, i am telling you my mind, ujue hivo, na 99% ya mashabiki wa mpira wanafanya hivo. Yaani duniani na ustaarabu wake , kwanini ujikaahfishe.
Sasa wewe vaa kwakusema si nimevaa niko sawa na wa 45 au laki mbili, bro hamko sawa. Labda jezi ziuzwe bei hyo.
😂😂Nakupigia nakupigiaaa
.... Wakipenda watengeneze na wao hizo fake maana kila moja lina soko lake...hiwezi kumvalisha wa 45k jezi fake...hivyo hivyo huwezi kumnunulisha wa jezi ya 3000 jezi ya 45,000 atakutukanaLeo nikiwa matembezi yangu Kariakoo kujitafuta, nimeona jezi za Yanga na Simba za msimu huu Mpya zikiuzwa elfu 3 ,elfu 5 na Elfu 7 zimemwagwa chini machinga tena karibu na jengo la Simba mtaa wa Agrrey na watu wanazigombania sana tu.
Kwa hilo nimeona sio leo wala kesho uharamia wa jezi utaisha kwa sababu viongozi wenyewe wa timu hizi hawatilii mkazo.
Je wale waliokamatwa Mwaka jana wamefanywa nini hamna walichofanywa ni mbwembwe za mitandaoni tu.
Selemani Sele.
Shabiki wa Yanga SC kindaki ndaki.
Fala mama yakoYaani kumbe Kuna watu mko na UFALA hivi?
Ntakutia kidole kwa kinyeoFala mama yako
Utanunuaje jes feki then ujisif8a wewe ni shabiki wa timu fulani? mbona mnakuwa wajinga sana? kwa nini lakin?Ukiishi maisha ya show off ni yes lakini ukinunua jezi ya 7k na alonunua ya 45k halafu mkaenda taifa wote mtaonekana mmevaa jezi za simba✊🏾
Kumbe umekuja kutukana. Humu, endelea sina muda na mafara mm. Uwe na jumapili njema. Wenzako wanapeana maoni unakuja na kejeli, uncircumcised baboon.Ntakutia kidole kwa kinyeo