Selemani Sele
JF-Expert Member
- Feb 25, 2023
- 319
- 711
Kuna tofauti ya wanunuzi, Mimi sinunui jersey elfu saba, maaana najua hamna kitu, napoteza hela. Haitokaa, itakua inatosha jasho la ajabu, kufanya ninuke, siwezi ivaa sehemu yoyote na nikatambulika kwamba niko smart, kwingine hata kipato chako kikaonekana haba, au ukapoteza uaminifu. Siwezi vaa jezi elfu saba au 15, never on earth.Sasa niache jezi ya alf 7 nikanunue jezi 35-45
Ukiishi maisha ya show off ni yes lakini ukinunua jezi ya 7k na alonunua ya 45k halafu mkaenda taifa wote mtaonekana mmevaa jezi za simba✊🏾Kuna tofauti ya wanunuzi, Mimi sinunui jersey elfu saba, maaana najua hamna kitu, napoteza hela. Haitokaa, itakua inatosha jasho la ajabu, kufanya ninuke, siwezi ivaa sehemu yoyote na nikatambulika kwamba niko smart, kwingine hata kipato chako kikaonekana haba, au ukapoteza uaminifu. Siwezi vaa jezi elfu saba au 15, never on earth.
Uko wapiii 😊Kuna tofauti ya wanunuzi, Mimi sinunui jersey elfu saba, maaana najua hamna kitu, napoteza hela. Haitokaa, itakua inatosha jasho la ajabu, kufanya ninuke, siwezi ivaa sehemu yoyote na nikatambulika kwamba niko smart, kwingine hata kipato chako kikaonekana haba, au ukapoteza uaminifu. Siwezi vaa jezi elfu saba au 15, never on earth.
Timu zinanufaikaje na mauzo ya jezi?
Quality broSasa niache jezi ya alf 7 nikanunue jezi 35-45
Hivi unafikiri nakulazimisha wewe, i am telling you my mind, ujue hivo, na 99% ya mashabiki wa mpira wanafanya hivo. Yaani duniani na ustaarabu wake , kwanini ujikaahfishe.Ukiishinmaisha ya show off ni yes lakini ukinunua jezi ya 7k na alonunua ya 45k halafu mkaenda taifa wote mtaonelana mmevaa jezi za simba✊🏾
Kwenye jiji la raha, daslaaaaamUko wapiii 😊
Jezi za timu za tanzania aisee ni kituko hata hiyo ya 45 ni uchafu Fulani hivi siwezi kuvaa mileleKuna tofauti ya wanunuzi, Mimi sinunui jersey elfu saba, maaana najua hamna kitu, napoteza hela. Haitokaa, itakua inatosha jasho la ajabu, kufanya ninuke, siwezi ivaa sehemu yoyote na nikatambulika kwamba niko smart, kwingine hata kipato chako kikaonekana haba, au ukapoteza uaminifu. Siwezi vaa jezi elfu saba au 15, never on earth.
Nakupigia nakupigiaaaKwenye jiji la raha, daslaaaaam
Usilinganishe jezi ya elfu saba na jezi ya elfu arobaini. Kuvaa vizuri sio show off, ni kujiheshimu na kudhihirisha kijana uko active kichwani.Ukiishinmaisha ya show off ni yes lakini ukinunua jezi ya 7k na alonunua ya 45k halafu mkaenda taifa wote mtaonelana mmevaa jezi za simba✊🏾
Timu zinanufaikaje na mauzo ya jezi?
Anhaa kaka jezi ya Yanga kwality sio ya sandaJezi za timu za tanzania aisee ni kituko hata hiyo ya 45 ni uchafu Fulani hivi siwezi kuvaa milele
Nimeshangaa na unakuta mtu kanunua tiketi ya VIPHivi kumbe watu wazima nao mnanunua hayo matambara ya elfu 7 aisee mtanzania umasikini mpaka kihama jezi ya elfu 7 duuuh